Vipi kuhusu gray hackers?Inategemeana na hacker anataka kwa mfano white hacker's wale ambao hudukua taarifa kwa sababu za kiusalama na black hacker's ni wale ambao hudukua taarifa kwa ajili ya kupata kitu fulani ili kumdharirisha mhusika endapo atagoma kutoa chochote pia wakati mwingine mtu hufanya hacking kuridhisha nafsi
Hakun kitu hapo....
Habari Ndugu???
Hii ni kwa wale ambao wanapenda kujifunza hacking kama Hupendi Na Huhitaji hebu pita Mbali usiache uchawa hapa.
ZIFUATAZO NI TOP 10 YA MOVIES AMBAZO ZINAONYESHA SUALA ZIMA LA HACKING PROCESS... ZITAFTE LEO UJIONEE!!!!
MOVIES HIZO HIZI HAPA.
#1 Blackhat
#2 ALGORITHM: THE HACKER MOVIE (2014)
#3 SNOWDEN
#4 NERVE (2016)
#5 EAGLE EYE (2008)
#6 Trackdown (2000)
#7 THE FIFTH ESTATE
#8 HACKERS (1995)
#9 WAR GAMES (1983)
#10 Cybergeddon
Asanteni!!!
By Tzhacker 000
sawaHakun kitu hapo....
Hiyo eagles eye ina kipi cha kureflect hacking?
Hakuna kitu hapo maana hata vitu vingine walivyoonyesha mle havipo mfano ile techbology ya kile kindege.
Sijaona hacking mle.
Mobile phone tracker iko poa san inatrack each and everythng cha kufanya search google na cm ya muhusika download app then register as new user af ww utatumia kifaa chochot cheny ku access internet kulog in katka account uliyofungua kwa muhusika wko ndio utakutana na yoooot yanayojil...! Kwa mengneyo nichekNaomba ndugu application ya kudukua sms za mtu bila ya yeye kujua .maana mahacker wengi huomba hela kwa hili
Mkuu kuna course inaitwa ethical hacker onafundishwa darasani. Si vema kutoa hitimispho kwa jambo usilolijua kiundani.
Japo najua utundu, ubishi na juhudi binafsi ukichanganya na akili za ziada hukufanya kuwa mdukuaji mahiri.
Boss simply hacking is not about the software is all about the coding partkiongoz hacking ni swala la kucheza na software program na program zooooote dunia hii zina be made by coding....ila kama unataka kua hacker kwa kutumia hacking tool software zilizo tengenezwana na complete hacker kama hizo mnazo tumiana sitaki kuzitaja zipo nyingi mno alafu kibaya kama hack tool hujatengeneza wewe hutajua jinsi ya kujilinda ili usikamatwe au usi hackiwe na wewe......ndomana nikasema be carefully kuna cyber crime......ni ushauri tuuuu......
Nimekupata mkuu.Mkuu naelewa kabisa kama kuna coz za Ethical Hacking lakini ukiangalia yeye alitaka kujua kama hacking inayofundishwa anataka aitumie kama professional yake au carrer.
Lakuongezea tumsaidie kama anapenda basi ajifunze programming ili aweze kufikia kile anachokitaka.
what is software by then? Ila mi nilitoa ushauri ila kama hujawah kukaa darasan ukajifunza haya maswala usije ukamuamini mtu ati ni simple.....tumieni hizo pdf za mtandaoni kafanye mpaka practice uone kama utafikia hata level ya huyo hacker unaye mjua wewe......hizo material mnazo soma zinasaidia kujua whole process of ethical hacking japo mara nyingi hawagusi Pentesting hii ni kwaajili ya maswala ya cyber security ila kama unataka kua CEH kasome coding maswala ya paithon, php, java, etc......nazungumza kitu nacho kifaham si bahatishi. .....Boss simply hacking is not about the software is all about the coding part
Using Cain n able sijui takataka gani that's not hacking
Ukisoma kidogo ethical hacking utaelewa what hacking is exactly n how to defend
Duuu mkuuwhat is software by then? Ila mi nilitoa ushauri ila kama hujawah kukaa darasan ukajifunza haya maswala usije ukamuamini mtu ati ni simple.....tumieni hizo pdf za mtandaoni kafanye mpaka practice uone kama utafikia hata level ya huyo hacker unaye mjua wewe......hizo material mnazo soma zinasaidia kujua whole process of ethical hacking japo mara nyingi hawagusi Pentesting hii ni kwaajili ya maswala ya cyber security ila kama unataka kua CEH kasome coding maswala ya paithon, php, java, etc......nazungumza kitu nacho kifaham si bahatishi. .....
udukuaji haufundishi darasani
Na mm naomba mkuuNifate private Nitakusaidia bila Malipo[emoji120] [emoji120] [emoji106] [emoji106]
Duu hii game naamu ya kuicheza ninaonaga cover zake tu na call of duty[emoji30] [emoji30] [emoji30]Vilevile sio movie tu but hata ukicheza games kama vile watch dogs itakusaidia
Maana hadi unahack traffic lighs za barabarani kwenye hiyo game
Una PCDuu hii game naamu ya kuicheza ninaonaga cover zake tu na call of duty[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Na Mimi nielekeze kudukua sms za mtu bila yeye kujua
Habari Ndugu???
Hii ni kwa wale ambao wanapenda kujifunza hacking kama Hupendi Na Huhitaji hebu pita Mbali usiache uchawa hapa.
ZIFUATAZO NI TOP 10 YA MOVIES AMBAZO ZINAONYESHA SUALA ZIMA LA HACKING PROCESS... ZITAFTE LEO UJIONEE!!!!
MOVIES HIZO HIZI HAPA.
#1 Blackhat
#2 ALGORITHM: THE HACKER MOVIE (2014)
#3 SNOWDEN
#4 NERVE (2016)
#5 EAGLE EYE (2008)
#6 Trackdown (2000)
#7 THE FIFTH ESTATE
#8 HACKERS (1995)
#9 WAR GAMES (1983)
#10 Cybergeddon
Asanteni!!!
By Tzhacker 000
MR.ROBOT
Habari Ndugu???
Hii ni kwa wale ambao wanapenda kujifunza hacking kama Hupendi Na Huhitaji hebu pita Mbali usiache uchawa hapa.
ZIFUATAZO NI TOP 10 YA MOVIES AMBAZO ZINAONYESHA SUALA ZIMA LA HACKING PROCESS... ZITAFTE LEO UJIONEE!!!!
MOVIES HIZO HIZI HAPA.
#1 Blackhat
#2 ALGORITHM: THE HACKER MOVIE (2014)
#3 SNOWDEN
#4 NERVE (2016)
#5 EAGLE EYE (2008)
#6 Trackdown (2000)
#7 THE FIFTH ESTATE
#8 HACKERS (1995)
#9 WAR GAMES (1983)
#10 Cybergeddon
Asanteni!!!
By Tzhacker 000