Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Kabla ya kudhibitiwa, Kenya walikuwa na wastani wa meli ngapi na sisi ngapi..? maana tunaongea tu.Kenya watazidi kutupiga gepu sisi ngoja tuendelee kusema ni vibaka ambao hawapitishi mizigo huku
Usije tumbo wazi bila kuelewa nilichokiandika mimi nimeongelea "mizigo" wewe unaleta habari za "meli" usikochangie mada ukiwa una njaaKabla ya kudhibitiwa, Kenya walikuwa na wastani wa meli ngapi na sisi ngapi..? maana tunaongea tu.
Hakuna hiyo kitu mkuu, imeyeyuka.Na bandari ya Bagamoyo inajengwa.
Hiyo mizigo inabebwa na masabuli yako? thread inahusu meli au mizigo? lugha chafu zimejaa tele ni utashi na utii wa sheria tu kuzitumia au kutokuzitumia.Usije tumbo wazi bila kuelewa nilichokiandika mimi nimeongelea "mizigo" wewe unaleta habari za "meli" usikochangie mada ukiwa una njaa
Naona dawa imekuingia ukiweweseka ndo dalili ya kupona..kwa akili zako meli zikionekana ndo mizigo inakuwa mingi? Ukiona boss wa bandari anakiri mizigo imepungua wewe ambae upo tumbo wazi sijui unabisha kitu gani.Hiyo mizigo inabebwa na masabuli yako? thread inahusu meli au mizigo? lugha chafu zimejaa tele ni utashi na utii wa sheria tu kuzitumia au kutokuzitumia.
Bado mapema. Kumbuka pia madeni yaliongezeka sana kipindi hichoMakusanyo yapi yameongezeka? KipindI cha JK licha ya wafanyakazi hewa wanafunzi hewa safari za njee matumizi makubwa hali haikuwa hivi pamoja na mskusanyo ya bil 700-900 leo makusanyo trilioni 1.135 hakuna wafanyakazi hewa hakuna safari za nje na seminars kwenye mashirika na serikali lakini tumeshindwa kujenga hata kakiwanda kamoja badala yake tunalazimisha mifuko ya jamii ndo ijenge kweli?
Tra kasema mizigo imepungua lkn mapato yameongezeka maradufu. Tena siyo 02.09.2016 bali ni 04.09.2016 sasa?Unajua kuna watu mnakera sana! Tarehe 2 mwezi huu mkurugenzi wa TPA amedai mapato yamepungua, wewe pimbi unadai mapato yameongezeka!
Hivi wewe na ile kamati ya viwanda, biashra na mazingira ya Bunge nani anaujua ukweli? Hii nchi bwana kila mmoja anajifanya kujua. Hoja sio Meli haziji tatizo mizigo kupungua. Unajua Meli hiyo hiyo inayotia nanga bandari ya Dar es Salaam ikishashusha container moja hapa kwetu inapita na kwenda Mombasa kushusha Container 200. Labda kama unataka kulinganisha leta takwimu za mizigo kati ya bandari jirani na yetu hapo tutakuelewa la sivyo una tapatapaUnaweza kuangalia idadi ya meli zinazoingia Bandalini Dsm na Bandali Jirani ambazo ni shindani. Hii itonyesha kama kweli sisi hatupati meli au tunasema tu bila kuwangalia
http://www.marinetraffic.com/en/ais/index/ports
PoleKwa nini watu wanashindwa kuelewa ukweli mwepesi?
1. Meli zilzokuwa zinaleta mizingo ya kiujanjajanja na kukwepa kodi haziji tena bandari ya Dar. Zimehamia kwingine.
2. Kwa hiyo meli zinazokuja Dar zimepungua maana zimebaki zile tu za mizigo halali zisizokwepa kodi ya serikali.
3. Makusanyo ya kodi kwenye bandari ya Dar imeongezeka mara dufu.
4. Sasa tatizo ni lipi? Unataka tu mameli yajazane pale bandarini yakipiga dili sisi hatupati kitu, ndiyo ufurahi? Au sisi tunachotaka si ni pesa?
Hivi wewe na ile kamati ya viwanda, biashra na mazingira ya Bunge nani anaujua ukweli? Hii nchi bwana kila mmoja anajifanya kujua. Hoja sio Meli haziji tatizo mizigo kupungua. Unajua Meli hiyo hiyo inayotia nanga bandari ya Dar es Salaam ikishashusha container moja hapa kwetu inapita na kwenda Mombasa kushusha Container 200. Labda kama unataka kulinganisha leta takwimu za mizigo kati ya bandari jirani na yetu hapo tutakuelewa la sivyo una tapatapa
Umesema vizuri sana hapo kwenye namba 4.Kwa nini watu wanashindwa kuelewa ukweli mwepesi?
1. Meli zilzokuwa zinaleta mizingo ya kiujanjajanja na kukwepa kodi haziji tena bandari ya Dar. Zimehamia kwingine.
2. Kwa hiyo meli zinazokuja Dar zimepungua maana zimebaki zile tu za mizigo halali zisizokwepa kodi ya serikali.
3. Makusanyo ya kodi kwenye bandari ya Dar imeongezeka mara dufu.
4. Sasa tatizo ni lipi? Unataka tu mameli yajazane pale bandarini yakipiga dili sisi hatupati kitu, ndiyo ufurahi? Au sisi tunachotaka si ni pesa?
Acha uzembe, nimezungumzia taarifa ya TPA na sio TRA! Au hujui tofauti yake!Tra kasema mizigo imepungua lkn mapato yameongezeka maradufu. Tena siyo 02.09.2016 bali ni 04.09.2016 sasa?
Numbers don't lie.Shida ni moja
Yaani hata mnywa viroba sasahivi anajiona mjuaji !!