Palipo na wazee ...This sounds a little bit personal. Single mothers walikukosea nini mkuu? Ulishaumizwa na single mother au hizi ni chuki tu za kawaida?
Mbona wapo wengi tu wanaojitambua na wanaojua mipaka yao katika mahusiano mapya? Mbona wote mnawarundika kwenye fungu moja kama vile wana personality moja?
Wengine masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi!
Mzee wa Kupambania anaonekana anauzoefu wa kutosha,This sounds a little bit personal. Single mothers walikukosea nini mkuu? Ulishaumizwa na single mother au hizi ni chuki tu za kawaida?
Mbona wapo wengi tu wanaojitambua na wanaojua mipaka yao katika mahusiano mapya? Mbona wote mnawarundika kwenye fungu moja kama vile wana personality moja?
Wengine masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi!
OkeNa pia single maza anauzoefu wa kuachwa na kuishi mwenyewe hivyo haoni shida kuivuruga ndoa mpya ili aishinpeke yake tena kama mwanzo
Usicheke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna kazi kwakweli ya kutuliza moyo, kwanza akiondoka tu nyumbani zaidi ya saa moja tayari wasiwasi, mda wote unahisi tu unagongewa na baba mtotoNdugu zangu salaam
Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.
1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke
2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu
3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .
Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia
Nawatakia kilala heri
After whoring around in her prime, after becoming a baby mama and losing value in the dating marketBut fine I will take your comment as a challenge though my decision remain the same
A single mother with a baby girl no problem In my perspective
After whoring around in her prime, after becoming a baby mama and losing value in the dating marketBut fine I will take your comment as a challenge though my decision remain the same
A single mother with a baby girl no problem In my perspective
Aaah wapi wakae na uzoefu wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tofauti ya single maza na mwanamke asiyezaa ni kuwa,
Single maza anauzoefu wa kutendwa na kuachwa hivyo anaheshimu na kutukuza ndoa kwa bidii zote tofauti na upande mwingine..
After aborting all around a damn dumb man like you will pick up that flat tummy girl and consider him a lucky ass manAfter whoring around in her prime, after becoming a baby mama and losing value in the dating market
A finished man like you willing to save them off the streets after being a bed to bed midfielder in their prime
Foolish man with misplaced priority
Kuzalishwa na kuachika ni muhuri wa moto anaopigwa mwanamke kuonyesha uma kwamba yeye ni malayerKupigwa pipe kuzalishwa na kuachika huo ni uzoefu wa umalaya hauna uhusiano na kuwa mke bora
Mwanamke wa aina hiyo sio wa kufanya naye maisha kabisa
Kuna member hapo juu kasema vizuri sana. Kila mtu ashike analoona litamfaa. Oa yeyote. bikra, single mumy, ajuza au hata kuacha, acha tu.Ni bora kubaki single kuliko kulea bao la mwanaume/wanaume wenzako
Siku ukiwa unaoa nenda kamwambie mama au dada zako unaoa single maza watasikitika na kukushangaa sana
Hata kama mama yako alikulea akiwa single maza hakuna siku atakuuunga mkono uoe single maza mwenzake anaweza akalia sana
Ndio ujue wanawake wanajuana
Mungu naye akiwa mbinguni anakushangaa na kukuona mjinga, amemuagiza mwanaume aanzishe familia yake wewe unaenda kujiunga kwenye familia ya mwanaume mwenzako!
Imagine siku umemuoa single maza halafu unawatembelea wazazi wako ukiwa na watoto wa mwanaume mwenzako. Then unawaambia watoto wa mwanaume mwenzako msalimie bibi na babu yenu. Lazima baba yako na mama yako wakuone mpumbavu na mjinga, a useless son.
Ni mwanaume mpumbavu tu ndiye anayeoa single maza.
Learn or perish
NAKAZIAKuzalishwa na kuachika ni muhuri wa moto anaopigwa mwanamke kuonyesha uma kwamba yeye ni malayer
Imagine referring to another man's baby mama, as your soul mate. Pussy truly is a dangerous drug!After aborting all around a damn dumb man like you will pick up that flat tummy girl and consider him a lucky ass man
Mpaka afike chuoni hajajitambua kweli au sekondari?masikini walifanya makosa wakiwa bado hawajajitambua huko mashuleni na vyuoni. Na leo hii wanabebeshhwa mzigo wa kudumu wa umalaya. Je, waliowazalisha na kuwatelekeza je? Jamii ya ajabu sana hii wallahi
AiseeNdugu zangu salaam
Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.
1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke
2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu
3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .
Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia
Nawatakia kilala heri