Why you hate them is what bothering my mind right now!Imagine referring to another man's baby mama, as your soul mate. Pussy truly is a dangerous drug!
Baby mamas are for losers. No man with any self respect would commit to a baby mama. It never goes beyond sex, of which the sex isn't even encouraged
No normal man has ever woken up at 6am and said Iβve always dreamt of being a step dad. Never!
Not only me broWhy you hate them is what bothering my mind right now!
Ninastori inayofanana na hii.Kuna member hapo juu kasema vizuri sana. Kila mtu ashike analoona litamfaa. Oa yeyote. bikra, single mumy, ajuza au hata kuacha, acha tu.
Familia moja kijana alitangaza kuoa single mumy. Mama mzazi nusuru azimie kwa kilio kupinga kijana wake kuoa single mother. Kijana akisimamia msimamo wake na alioa.
Baadhi ya ndugu walimtenga kijana kiaina. Wazazi wa kijana hawakuwa na upendo kwa mke wa kijana wao. Waliishi nae basi tu ashaolewa na mtoto wao.
Kijana wa pili alitangza kuoa binti ambaye alianzisha yeye binti akiwa sekondari. Sifa zikawa sifa kwa kijana kuleta chombo kipya. Akapendwa kijana na mkewe. Wakafanywa kuwa watoto wenye hekima na ndoa ya mfano.
Siku hazikuganda. Kaka na mkewe waliokuwa hawaishi pale kijijini walijaliwa kupata mtoto. Lakini hakuthaminiwa sana. Lakini hakujali, walimlea mtoto wao pamoja na yule wa kufikia kwa upendo wote. Maisha yao yakawa ya amani ndani na nje. Heshima na upendo kati yao vikawa nyota angavu..
Kwa upande wa mdogo, baada ya muda kukawa mushkeli kidogo. Baada ya kupata mtoto wa kwanza vizuri, mke alianzisha mchezo mchafu. Mara alibeba mimba nje ya ndoa. Akaona ataumbuka. Akaamua kuitoa mimba. Mambo yalipokuwa magumu, alipelekwa hospitali. Kama kawaida ya manesi, walimbana aseme ukweli. Akasema katoa mimba na sababu ni kuwa haikuwa ya mumewe. Ile ndoa kwa sasa kauli ya mwisho bila kujali ubora, msemaji ni mke. Kijana kawa poyoyo kiasi kwamba mke alale asilale nyumbani, mume haruhusiwi kuhoji.
Naunga mkono jamaa aliyesema kila mmoja afanye analoona linafaa. Ukipata chema asante Mungu, ukipata koroma bahati mbaya.
Jioni njema member wote.
Baadhi ya ambao waliepuka kuwa single mothers, ni watoa mimba wazoefuTofauti ya single maza na mwanamke asiyezaa ni kuwa,
Single maza anauzoefu wa kutendwa na kuachwa hivyo anaheshimu na kutukuza ndoa kwa bidii zote tofauti na upande mwingine..
Usijifanye mjuaji na kuanza kutetea vihoja vyako.. πππ, wewe sikiliza na kufanyia kazi utakacho ambiwa.Ndugu zangu salaam
Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.
1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke
2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu
3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .
Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia
Nawatakia kilala heri
Mkuu wapi nimetetea single maza.. unadhani huko nilikomtuma huyu ndugu hao jamaa watakubaliana nae aoe mke wa mtu?Usijifanye mjuaji na kuanza kutetea vihoja vyako.. πππ, wewe sikiliza na kufanyia kazi utakacho ambiwa.
ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.
Single maza inabidi waje na uzi wa kujitetea.
Kijana nadhani hujaelewa nilicho andika.Mkuu wapi nimetetea single maza.. unadhani huko nilikomtuma huyu ndugu hao jamaa watakubaliana nae aoe mke wa mtu?
Itakua ni hizi pombe za asubuhi asubuhi zina nipelekesha. Pamoja mkuuKijana nadhani hujaelewa nilicho andika.
Sijasema kuwa umetetea single maza.
Nimeweka msisitizo tu,
Nimetumia maneno yako haya...
"Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia"