Kama unataka kuoa single maza pitia hapa

Kama unataka kuoa single maza pitia hapa

Imagine referring to another man's baby mama, as your soul mate. Pussy truly is a dangerous drug!

Baby mamas are for losers. No man with any self respect would commit to a baby mama. It never goes beyond sex, of which the sex isn't even encouraged

No normal man has ever woken up at 6am and said I’ve always dreamt of being a step dad. Never!
Why you hate them is what bothering my mind right now!
 
Why you hate them is what bothering my mind right now!
Not only me bro

The world is harsh to single moms as well

Which is why every woman must be very strict about the kind of man she lets in between her legs

Having a child is like a felony, it'll stick with single mother forever
 
Kuna member hapo juu kasema vizuri sana. Kila mtu ashike analoona litamfaa. Oa yeyote. bikra, single mumy, ajuza au hata kuacha, acha tu.

Familia moja kijana alitangaza kuoa single mumy. Mama mzazi nusuru azimie kwa kilio kupinga kijana wake kuoa single mother. Kijana akisimamia msimamo wake na alioa.

Baadhi ya ndugu walimtenga kijana kiaina. Wazazi wa kijana hawakuwa na upendo kwa mke wa kijana wao. Waliishi nae basi tu ashaolewa na mtoto wao.

Kijana wa pili alitangza kuoa binti ambaye alianzisha yeye binti akiwa sekondari. Sifa zikawa sifa kwa kijana kuleta chombo kipya. Akapendwa kijana na mkewe. Wakafanywa kuwa watoto wenye hekima na ndoa ya mfano.

Siku hazikuganda. Kaka na mkewe waliokuwa hawaishi pale kijijini walijaliwa kupata mtoto. Lakini hakuthaminiwa sana. Lakini hakujali, walimlea mtoto wao pamoja na yule wa kufikia kwa upendo wote. Maisha yao yakawa ya amani ndani na nje. Heshima na upendo kati yao vikawa nyota angavu..

Kwa upande wa mdogo, baada ya muda kukawa mushkeli kidogo. Baada ya kupata mtoto wa kwanza vizuri, mke alianzisha mchezo mchafu. Mara alibeba mimba nje ya ndoa. Akaona ataumbuka. Akaamua kuitoa mimba. Mambo yalipokuwa magumu, alipelekwa hospitali. Kama kawaida ya manesi, walimbana aseme ukweli. Akasema katoa mimba na sababu ni kuwa haikuwa ya mumewe. Ile ndoa kwa sasa kauli ya mwisho bila kujali ubora, msemaji ni mke. Kijana kawa poyoyo kiasi kwamba mke alale asilale nyumbani, mume haruhusiwi kuhoji.

Naunga mkono jamaa aliyesema kila mmoja afanye analoona linafaa. Ukipata chema asante Mungu, ukipata koroma bahati mbaya.

Jioni njema member wote.
Ninastori inayofanana na hii.
Jamaa aliopoa single maza wake fresh nyumban wakamzingua ikabidi atafute mwingine asiyezaa, kajakupata kimeo hiko ni mzembe kila idara. Ana mambo mengi ila kubwa zaidi kumpelekesha mumewe like yeye ndio kichwa mumewe kama zoba, kijana amepungua hadi mwili kwa mateso.
Ifike hatua hawa vijana wanaopinga waachwe cha mtema kuni kiwapate wajithibitishie wenyewe(na watapigwa mapigo ya kigaidi)
 
Tusiwahukumu singo mama Kila mmoja anasaba zake tofauti za kuwa singo mama, Ebu tuwaheshimu natuwaoe
ila Kabla huja mwoa chunguza mahusiano yake na huyo baba moto wake na sababu za yeye kuwa singo maza
Angalizo wengi wao bado wana mahusiano na baba watoto wao kwa misingi kwamba analea moto wake hapo ndipo matatizo kwa mahusiano mapya yanapoaanza na kusababisha wanaume kuogopa kuwaoa singo maza.
Hivyo basi suluhusho mototo aplekwe Kwa baba yake au bibi yake ili asihusike na familia yako lakini pia inategemeana na msimamo wa mwanamme wengine wako tayari kulea watoto wa wenzao mradi tu heshima iwepo na uaminifu
 
Tofauti ya single maza na mwanamke asiyezaa ni kuwa,
Single maza anauzoefu wa kutendwa na kuachwa hivyo anaheshimu na kutukuza ndoa kwa bidii zote tofauti na upande mwingine..
Baadhi ya ambao waliepuka kuwa single mothers, ni watoa mimba wazoefu
 
Yamesemwa mengi Tena kwa mifano na ushuhuda nichelee tu kusema wa kuelewa ameelewa ,asiye elewa ataelewa huko huko ndoani na single mama.Single mother ni zaidi ya koboko.
 
Ndugu zangu salaam

Tulisha ongea na kuandika sana kuhusu single maza na maoni yalitolewa mengi sana ,ila kuna watu hawataki kusikia kabisa sasa jibu rahisi kama unataka kuoa single maza ( mwanamke aliye zaa na mwanaume mwezio ambaye yupo hai) fanya hivi.

1: Nenda kijijini kwenu muulize bibi yako ( mama mzaa baba ) kama yupo hai , mwambie kabisa nataka kuoa single maza tena mfafanulie kwa kina ili akuelewe mwambie ni mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine na mwanaume wake yupo hai ikibidi watajie mpaka koo anazotoka huyo mwanamke

2: Kama bibi yako upande wa baba hayupo hai waulize dada zake na baba yao watakupa majibu

3: Kama wote hawapo hai waulize dada zako mliozaliwa tumbo moja na kwa baba mmoja waambie kabisa nataka kuoa single maza .

Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia

Nawatakia kilala heri
Usijifanye mjuaji na kuanza kutetea vihoja vyako.. 😂😂😂, wewe sikiliza na kufanyia kazi utakacho ambiwa.

ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.

Single maza inabidi waje na uzi wa kujitetea.
 
Usijifanye mjuaji na kuanza kutetea vihoja vyako.. 😂😂😂, wewe sikiliza na kufanyia kazi utakacho ambiwa.

ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA MGUU.

Single maza inabidi waje na uzi wa kujitetea.
Mkuu wapi nimetetea single maza.. unadhani huko nilikomtuma huyu ndugu hao jamaa watakubaliana nae aoe mke wa mtu?
 
Mkuu wapi nimetetea single maza.. unadhani huko nilikomtuma huyu ndugu hao jamaa watakubaliana nae aoe mke wa mtu?
Kijana nadhani hujaelewa nilicho andika.
Sijasema kuwa umetetea single maza.
Nimeweka msisitizo tu,

Nimetumia maneno yako haya...

"Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia"
 
I
Kijana nadhani hujaelewa nilicho andika.
Sijasema kuwa umetetea single maza.
Nimeweka msisitizo tu,

Nimetumia maneno yako haya...

"Wasikilize kwa makini ,usilete ujuaji wala kutetea hoja na majibu watakayokupa hakikisha unayafanyia kazi kisawasawa. Maana sisi huku Jf tumesema sana hamtaki kusikia"
Itakua ni hizi pombe za asubuhi asubuhi zina nipelekesha. Pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom