Kama unataka kuolewa na Bilionea, kama alivyoolewa mke wa Mwamposa, ruka hapa fastaa

Kama unataka kuolewa na Bilionea, kama alivyoolewa mke wa Mwamposa, ruka hapa fastaa

Tajiri ana uwanja mkubwa wa kuchagua mwanamke yeyote anaemtaka, Kwetu waafrika kwakuwa ugonjwa wetu ni weupe wa ngozi, Mtumishi nae kadumisha mila 😂😂

Matajiri wazungu hawaangalii sana urembo wanaangalia akili, unyenyekevu, tabia, n.k. Huyu ni mke wa Mark Zuckbereg, Tajiri namba nne duniani mmiliki wa facebook, whatsapp, Instagram.

View attachment 3193343
Tajiri anakojoa pazuri
 
Mwaka 2025 usikae kihasara

Nikikuita kwenye darasa la Feminine unaona nakuibia

Mmemwona Mke wa Bilionea Mwamposa? Alivyo mrembo? Alivyo FEMININE?

Hivyo ndivyo wanaume wakiwa na hela wanachagua wanawake wanaowataka wao, ambao walishindwa kuwamiliki wakiwa hawana hela

We zubaa hapo, shauriako

Darasa la Feminine liko whatsapp njoo usome weee

View attachment 3193114
Akili za mtu mweusi
 
Mwaka 2025 usikae kihasara

Nikikuita kwenye darasa la Feminine unaona nakuibia

Mmemwona Mke wa Bilionea Mwamposa? Alivyo mrembo? Alivyo FEMININE?

Hivyo ndivyo wanaume wakiwa na hela wanachagua wanawake wanaowataka wao, ambao walishindwa kuwamiliki wakiwa hawana hela

We zubaa hapo, shauriako

Darasa la Feminine liko whatsapp njoo usome weee

View attachment 3193114
Anatafuna bigijii kama akina Paula? Uhuni mjini, hamna kitu hapo
 
Back
Top Bottom