Kama unataka kuwa na amani ndani ya moyo wako na maisha yako, basi fanya haya

Kama unataka kuwa na amani ndani ya moyo wako na maisha yako, basi fanya haya

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
2,819
Reaction score
5,996
Kwanza natanguliza salam kwenu ndugu zangu wa JF wote.

Sasa bila kupoteza muda ndugu zangu, hayo chini ni baadhi ya mambo ambayo ukiyafanya, katu moyo wako hautapata maumivu ya aina yoyote katika hii dunia japo kuna changamoto ndogo ndogo za hapa na pale ambazo zitakupitia, lakini kwa muda mfupi changamoto hizo zitatoweka na moyo wako utarudi katika furaha yake ya siku zote. Mambo yenyewe ni hayo hapo chini japo unaweza kuongeza na wewe ya kwako.

1) Katika maisha yako yote ifanye sala au swala (ibada) kuwa ni kitu muhimu zaidi katika maisha yako kuliko kitu chochote hapa duniani.

2) Kuwa mshabiki wa club bora ya muda wote hapa Tanzania, hapa namaanisha uwe shabiki wa Yanga. Ukiwa mshabiki wa Yanga kamwe hautokuja kuumia umia hovyo kama waumiavyo mara kwa mara mashabiki wa club zingine za Simba, Azam nk.

Japo sometimes hutokea vichangamoto changamoto kama nilivyosema hapo juu, ila vitapita tu na furaha yako kupitia club ya Yanga itaendelea kama kawaida. Ndugu zangu uzi wa club bora mmeuona?

Achana na wale wanaookota vitambaa na kuonganisha onganisha ili wapate jezi za kuchezea 😂😂😂. I'm just kidding my brothers and sisters, ila ukweli ndio huo nilioandika juu, mengine ongezeni nyie wakuu.
 
Nilivyosoma heading nikavutiwa sana,nikasoma point ya kwanza ikanivutia zaidi nikajisemea rohoni huyu mleta uzi ana hekima sana,kuja point ya pili ebooo!!,hapo ndo umeharibu kabisa umenichefua sana.

Shudu tuu amejaza. Uzi ulikua mzuri
 
Nilivyosoma heading nikavutiwa sana,nikasoma point ya kwanza ikanivutia zaidi nikajisemea rohoni huyu mleta uzi ana hekima sana,kuja point ya pili ebooo!!,hapo ndo umeharibu kabisa umenichefua sana.
Kivipi mkuu, au na wewe ni miongoni mwa wale simba vibogoyo?
 
Tayari ushaleta bias, hujui kuwa wengine wanasoma kichwa Cha habari halafu wanafuata katikati ya habari na kumaliza na hitimisho halafu wakishaona habari inawafaa ndiyo wanasoma yote sasa...tusubiri comments za kejeli,dharau,majivuni.
 
Tayari ushaleta bias, hujui kuwa wengine wanasoma kichwa Cha habari halafu wanafuata katikati ya habari na kumaliza na hitimisho halafu wakishaona habari inawafaa ndiyo wanasoma yote sasa...tusubiri comments za kejeli,dharau,majivuni.
😀😀😀
 
Kwanza natanguliza salam kwenu ndugu zangu wa JF wote.
Sasa bila kupoteza muda ndugu zangu, hayo chini ni baadhi ya mambo ambayo ukiyafanya, katu moyo wako hautapata maumivu ya aina yoyote katika hii dunia japo kuna changamoto ndogo ndogo za hapa na pale ambazo zitakupitia, lakini kwa muda mfupi changamoto hizo zitatoweka na moyo wako utarudi katika furaha yake ya siku zote. Mambo yenyewe ni hayo hapo chini japo unaweza kuongeza na wewe ya kwako.

1) Katika maisha yako yote ifanye sala au swala (ibada) kuwa ni kitu muhimu zaidi katika maisha yako kuliko kitu chochote hapa duniani.
2) Kuwa mshabiki wa club bora ya muda wote hapa Tanzania, hapa namaanisha uwe shabiki wa Yanga. Ukiwa mshabiki wa Yanga kamwe hautokuja kuumia umia hovyo kama waumiavyo mara kwa mara mashabiki wa club zingine za Simba, Azam nk.

Japo sometimes hutokea vichangamoto changamoto kama nilivyosema hapo juu, ila vitapita tu na furaha yako kupitia club ya Yanga itaendelea kama kawaida. Ndugu zangu uzi wa club bora mmeuona? Achana na wale wanaookota vitambaa na kuonganisha onganisha ili wapate jezi za kuchezea 😂😂😂.
I'm just kidding my brothers and sisters, ila ukweli ndio huo nilioandika juu, mengine ongezeni nyie wakuu.
KWA YANGA HII STRESS UNATOA WAPI
 
Kabisa
Screenshot_20220118-163426.jpg
 
Nilivyosoma heading nikavutiwa sana,nikasoma point ya kwanza ikanivutia zaidi nikajisemea rohoni huyu mleta uzi ana hekima sana,kuja point ya pili ebooo!!,hapo ndo umeharibu kabisa umenichefua sana.
Kula tu limao au ndimu mkurugenzi, ili kuondokana na hicho kichefuchefu.
 
umeanza vizuri uzi mzuri heading nzuri ghafla ukaonesha upeo wako wa kufikilia ulivo bac Sawa ni IQ yako sisi hatuwez kubisha

mods pereka huu utopolo kwenye michezo
 
Yaani gujiteam makao makuu yake eti yako kwenye vidimbwi vyenye kinyesi kuleeee jangwani mpak upatafute kwa tochi furaha itoke wapi kwenye mafuriko huko??? Wamejaa wasiwas kila siku km wakimbizi...ukitaka kujua lao mvua zinyeshe mfululizooo weeee!!!...yanga wanakuwaga maporeee km yamenyeshewaaa...yenyewe make ofisi zao kskiwanja kao ksle butu ni mimaji ya vinyesi kutoka kariakoo..msimbazi..mavi ya vihepe ya magomeni mweee!! Mna kazi...lkn ajabu eti hawaachi...mleta mada anataka tu kujua mapungufu yao..
Basi jua ivoooooo....mnanuka kinyesi banaaa hameni bondeni..msione sibuuuu..
 
Back
Top Bottom