Kama unataka paa lako liwe imara tumia mbao za mlingoti

Kama unataka paa lako liwe imara tumia mbao za mlingoti

Mbao C ndio mkaratusi...

Huwa zina mafuta fulani ambayo huchefua wadudu kuweza kuitafuna...mafuta ya huu mti pia hutumika kwenye kutengeneza dawa za mafua kama vicks

0exhNuNYnjBGZDHIdN5WmL9I2Pk2GAlRNecaS7j0nyZiNxIsbHWB58ltwdGn%7C%7CDh6Kwh9HS+Lfjhj4Y0rUFtVZFF6O0LXTLCLTTtU6aWdV4Cq0zxi85Jllb48L3UebH+t%7C%7CsEpOzjYLCcaDqYDG7uo+qhT5aGuO1lQpTb9d7JGmC4E5ZObS6olhMF4pJ2Jg3Tt%7C%7C9k4Ki5e82wzJURmpNHNpW5HDbr2PM86o6N0QrlChMIRrdDgmBq7EHl3Kj4rUQ+RubTOl+1esBS6LWBs+kyzQaoaF3MIhXiCrVA0toFzqaqXBJVlidwZkIH2CmUEXTE86kEon5zgx3PySWaNyEUC1Uvb+OK+cOQxvICiMv63RMvB+AjSYpvhWbFaVnBCLK7XB1yIF%7C%7CLiJo5Wk9YZSKoY8X+W0UCCerPLzxp1WWIcgjfSCg==.jpeg


Na picha ya chini hapa ndio mti wa mkaratusi/mlingoti...

images
Kama ni hii basi huitwa pia Eucalyptus.
 
Huo mliingoti utautambuaje na una uzwa wapi wa hapa Dar es Salaam?
Chanika zinapatikana. Licha ya ubora wa Hali ya juu ya mbao hizi, mafundi wengi hawatakuambia uzitume. Nilipokuwa Nataka kuezeka ndipo nilipozitambua hizi mbao. Mafundi wengi niliozungumza nao hawakuzipendekeza Kwa maslahi Yao. Ila fundi mmoja ndiyo anapenda kuzituma hizo mbao. Alipokuja tu kufanya tathmini, hata kabla ya kumwambia kuhusu mbao hizo ni Yeye aliyependekeza zitumiwe hizo Kwa ajili ya ubora. Ana usemi anapenda kuseka, ukituma mlingoti uliokomaa, bati zitaisha, utazitoa na kuweka nyingine na zitaisha tena huku mbao zako Aiko vilevle.
 
Kwenye ujenzi bhna kuna mambo ukikosea utakuja kujilaumu sana baadae.

Hizi mbao mnazoambiwa ni treated ni wizi mtupu,
Mbao za pine pia ni laini sana, mafundi wanazipenda sababu ya urahisi wa kunyoosha.

Ila kama unajielewa tumia mlingoti kwa sababu 2.

1. Utapunguza gharama kubwa sana ya mbao. Mfano, fundi akikwambia nyumba yako inataka mbao 100 za 2x4 na mbao 100 za 2x2, wewe cha kufanya nenda dukani nunua mbao 50 za 2x6 peleka mashineni uchaniwe katikati zitoke 2x3 tayari umepeta mbao 100, hizi kwa kenji ni balaa unakuwa umempita mbali sana kwa uimara na alieweka kenji za pine za 2x6

Kwenye zile za papi 100 unachukua mbao 30 za 2x6 unachana mara 3 zinatoka mbao 90 za 2x2, umemaliza kazi.
Mbao ya mlingoti ya 2x6 inauzwa sh. 8,000 mpaka 9,000 kwa Dar. Ukipiga hesabu hapo utakuwa umeokoa hela nyingi sana.

2. Utaepukana na mbao kuliwa na wadudu!

Mlingoti hauliwi hovyo hovyo na wadudu

NB: Kupaulia mlingoti unahitaji upate fundi kweli kweli na umsimamie kwenye unyooshaji, vinginevyo nyumba inakuwa na vibyongo.
Kwenye ujenzi bhna kuna mambo ukikosea utakuja kujilaumu sana baadae.

Hizi mbao mnazoambiwa ni treated ni wizi mtupu,
Mbao za pine pia ni laini sana, mafundi wanazipenda sababu ya urahisi wa kunyoosha.

Ila kama unajielewa tumia mlingoti kwa sababu 2.

1. Utapunguza gharama kubwa sana ya mbao. Mfano, fundi akikwambia nyumba yako inataka mbao 100 za 2x4 na mbao 100 za 2x2, wewe cha kufanya nenda dukani nunua mbao 50 za 2x6 peleka mashineni uchaniwe katikati zitoke 2x3 tayari umepeta mbao 100, hizi kwa kenji ni balaa unakuwa umempita mbali sana kwa uimara na alieweka kenji za pine za 2x6

Kwenye zile za papi 100 unachukua mbao 30 za 2x6 unachana mara 3 zinatoka mbao 90 za 2x2, umemaliza kazi.
Mbao ya mlingoti ya 2x6 inauzwa sh. 8,000 mpaka 9,000 kwa Dar. Ukipiga hesabu hapo utakuwa umeokoa hela nyingi sana.

2. Utaepukana na mbao kuliwa na wadudu!

Mlingoti hauliwi hovyo hovyo na wadudu

NB: Kupaulia mlingoti unahitaji upate fundi kweli kweli na umsimamie kwenye unyooshaji, vinginevyo nyumba inakuwa na vibyongo.
Haswa haswa upate ule mlingoti unaoitwa gamzi daaa ni chuma balaaa
 
Chanika zinapatikana. Licha ya ubora wa Hali ya juu ya mbao hizi, mafundi wengi hawatakuambia uzitume. Nilipokuwa Nataka kuezeka ndipo nilipozitambua hizi mbao. Mafundi wengi niliozungumza nao hawakuzipendekeza Kwa maslahi Yao. Ila fundi mmoja ndiyo anapenda kuzituma hizo mbao. Alipokuja tu kufanya tathmini, hata kabla ya kumwambia kuhusu mbao hizo ni Yeye aliyependekeza zitumiwe hizo Kwa ajili ya ubora. Ana usemi anapenda kuseka, ukituma mlingoti uliokomaa, bati zitaisha, utazitoa na kuweka nyingine na zitaisha tena huku mbao zako Aiko vilevle.
Mafundi hawapendi kuzitumia sababu ya kuwa zinatumia muda mwingi kunyoosha
 
Chanika zinapatikana. Licha ya ubora wa Hali ya juu ya mbao hizi, mafundi wengi hawatakuambia uzitume. Nilipokuwa Nataka kuezeka ndipo nilipozitambua hizi mbao. Mafundi wengi niliozungumza nao hawakuzipendekeza Kwa maslahi Yao. Ila fundi mmoja ndiyo anapenda kuzituma hizo mbao. Alipokuja tu kufanya tathmini, hata kabla ya kumwambia kuhusu mbao hizo ni Yeye aliyependekeza zitumiwe hizo Kwa ajili ya ubora. Ana usemi anapenda kuseka, ukituma mlingoti uliokomaa, bati zitaisha, utazitoa na kuweka nyingine na zitaisha tena huku mbao zako Aiko vilevle.
share namba zake tucheze nae
 
Bei ya kupaua lazima iwe kubwa na uzipate mbichi, hizo mbao mafundi wanazikwepa kutokana na hii misumari ya kibongo inapinda sana
 
Bei ya kupaua lazima iwe kubwa na uzipate mbichi, hizo mbao mafundi wanazikwepa kutokana na hii misumari ya kibongo inapinda sana
Hilo ndio tatizo kuu la mlingoto ukikauka , pia ni mbao nzito sana nyumba iwe imejengwa imara huko chini la sivyo itayumba.
 
Back
Top Bottom