Kama unataka paa lako liwe imara tumia mbao za mlingoti

Kama unataka paa lako liwe imara tumia mbao za mlingoti

Kwenye ujenzi bhna kuna mambo ukikosea utakuja kujilaumu sana baadae.

Hizi mbao mnazoambiwa ni treated ni wizi mtupu,
Mbao za pine pia ni laini sana, mafundi wanazipenda sababu ya urahisi wa kunyoosha.

Ila kama unajielewa tumia mlingoti kwa sababu 2.

1. Utapunguza gharama kubwa sana ya mbao. Mfano, fundi akikwambia nyumba yako inataka mbao 100 za 2x4 na mbao 100 za 2x2, wewe cha kufanya nenda dukani nunua mbao 50 za 2x6 peleka mashineni uchaniwe katikati zitoke 2x3 tayari umepeta mbao 100, hizi kwa kenji ni balaa unakuwa umempita mbali sana kwa uimara na alieweka kenji za pine za 2x6

Kwenye zile za papi 100 unachukua mbao 30 za 2x6 unachana mara 3 zinatoka mbao 90 za 2x2, umemaliza kazi.
Mbao ya mlingoti ya 2x6 inauzwa sh. 8,000 mpaka 9,000 kwa Dar. Ukipiga hesabu hapo utakuwa umeokoa hela nyingi sana.

2. Utaepukana na mbao kuliwa na wadudu!

Mlingoti hauliwi hovyo hovyo na wadudu

NB: Kupaulia mlingoti unahitaji upate fundi kweli kweli na umsimamie kwenye unyooshaji, vinginevyo nyumba inakuwa na vibyongo.
Tunaomba na picha ya mti wa mlingoti
 
Hebu weka picha ake Watu8

Mbao C ndio mkaratusi...

Huwa zina mafuta fulani ambayo huchefua wadudu kuweza kuitafuna...mafuta ya huu mti pia hutumika kwenye kutengeneza dawa za mafua kama vicks

0exhNuNYnjBGZDHIdN5WmL9I2Pk2GAlRNecaS7j0nyZiNxIsbHWB58ltwdGn%7C%7CDh6Kwh9HS+Lfjhj4Y0rUFtVZFF6O0LXTLCLTTtU6aWdV4Cq0zxi85Jllb48L3UebH+t%7C%7CsEpOzjYLCcaDqYDG7uo+qhT5aGuO1lQpTb9d7JGmC4E5ZObS6olhMF4pJ2Jg3Tt%7C%7C9k4Ki5e82wzJURmpNHNpW5HDbr2PM86o6N0QrlChMIRrdDgmBq7EHl3Kj4rUQ+RubTOl+1esBS6LWBs+kyzQaoaF3MIhXiCrVA0toFzqaqXBJVlidwZkIH2CmUEXTE86kEon5zgx3PySWaNyEUC1Uvb+OK+cOQxvICiMv63RMvB+AjSYpvhWbFaVnBCLK7XB1yIF%7C%7CLiJo5Wk9YZSKoY8X+W0UCCerPLzxp1WWIcgjfSCg==.jpeg


Na picha ya chini hapa ndio mti wa mkaratusi/mlingoti...

images
 
Mbao C ndio mkaratusi...

Huwa zina mafuta fulani ambayo huchefua wadudu kuweza kuitafuna...mafuta ya huu mti pia hutumika kwenye kutengeneza dawa za mafua kama vicks

0exhNuNYnjBGZDHIdN5WmL9I2Pk2GAlRNecaS7j0nyZiNxIsbHWB58ltwdGn%7C%7CDh6Kwh9HS+Lfjhj4Y0rUFtVZFF6O0LXTLCLTTtU6aWdV4Cq0zxi85Jllb48L3UebH+t%7C%7CsEpOzjYLCcaDqYDG7uo+qhT5aGuO1lQpTb9d7JGmC4E5ZObS6olhMF4pJ2Jg3Tt%7C%7C9k4Ki5e82wzJURmpNHNpW5HDbr2PM86o6N0QrlChMIRrdDgmBq7EHl3Kj4rUQ+RubTOl+1esBS6LWBs+kyzQaoaF3MIhXiCrVA0toFzqaqXBJVlidwZkIH2CmUEXTE86kEon5zgx3PySWaNyEUC1Uvb+OK+cOQxvICiMv63RMvB+AjSYpvhWbFaVnBCLK7XB1yIF%7C%7CLiJo5Wk9YZSKoY8X+W0UCCerPLzxp1WWIcgjfSCg==.jpeg


Na picha ya chini hapa ndio mti wa mkaratusi/mlingoti...

images
Kumbe ni Eucalyptus, si ndio inatumika pia kujenga majukwaa kwenye ujenzi wa magorofa?
 
Hii niliona Zanzibar bwana, ndio mbao zao kuu wanatumia kuezekea
 
Mbao C ndio mkaratusi...

Huwa zina mafuta fulani ambayo huchefua wadudu kuweza kuitafuna...mafuta ya huu mti pia hutumika kwenye kutengeneza dawa za mafua kama vicks

0exhNuNYnjBGZDHIdN5WmL9I2Pk2GAlRNecaS7j0nyZiNxIsbHWB58ltwdGn%7C%7CDh6Kwh9HS+Lfjhj4Y0rUFtVZFF6O0LXTLCLTTtU6aWdV4Cq0zxi85Jllb48L3UebH+t%7C%7CsEpOzjYLCcaDqYDG7uo+qhT5aGuO1lQpTb9d7JGmC4E5ZObS6olhMF4pJ2Jg3Tt%7C%7C9k4Ki5e82wzJURmpNHNpW5HDbr2PM86o6N0QrlChMIRrdDgmBq7EHl3Kj4rUQ+RubTOl+1esBS6LWBs+kyzQaoaF3MIhXiCrVA0toFzqaqXBJVlidwZkIH2CmUEXTE86kEon5zgx3PySWaNyEUC1Uvb+OK+cOQxvICiMv63RMvB+AjSYpvhWbFaVnBCLK7XB1yIF%7C%7CLiJo5Wk9YZSKoY8X+W0UCCerPLzxp1WWIcgjfSCg==.jpeg


Na picha ya chini hapa ndio mti wa mkaratusi/mlingoti...

images
Aah sawa Asante...so hii inapatikana wapi
 
Wewe nenda duka la mbao waambie unataka mbao za milingoti watakupa
Hebu siku ukipata nafasi tupia picha tuone huo mlingoti unafananaje! Mimi ndio nasikia leo hiyo mbao!
 
Samahani, hiyo mbao ya 2x6 inachanwa vipi mpaka inatoa 3x3!? Maana kwa uelewa wangu mdogo ingeweza kutoa 2x3 au nyinginezo lakini sio 3x3.
Mimi sijaona maali ameandika 3×3
 
Kwenye ujenzi bhna kuna mambo ukikosea utakuja kujilaumu sana baadae.

Hizi mbao mnazoambiwa ni treated ni wizi mtupu,
Mbao za pine pia ni laini sana, mafundi wanazipenda sababu ya urahisi wa kunyoosha.

Ila kama unajielewa tumia mlingoti kwa sababu 2.

1. Utapunguza gharama kubwa sana ya mbao. Mfano, fundi akikwambia nyumba yako inataka mbao 100 za 2x4 na mbao 100 za 2x2, wewe cha kufanya nenda dukani nunua mbao 50 za 2x6 peleka mashineni uchaniwe katikati zitoke 2x3 tayari umepeta mbao 100, hizi kwa kenji ni balaa unakuwa umempita mbali sana kwa uimara na alieweka kenji za pine za 2x6

Kwenye zile za papi 100 unachukua mbao 30 za 2x6 unachana mara 3 zinatoka mbao 90 za 2x2, umemaliza kazi.
Mbao ya mlingoti ya 2x6 inauzwa sh. 8,000 mpaka 9,000 kwa Dar. Ukipiga hesabu hapo utakuwa umeokoa hela nyingi sana.

2. Utaepukana na mbao kuliwa na wadudu!

Mlingoti hauliwi hovyo hovyo na wadudu

NB: Kupaulia mlingoti unahitaji upate fundi kweli kweli na umsimamie kwenye unyooshaji, vinginevyo nyumba inakuwa na vibyongo.
Mawazo ya kimaskini 🤣🤣
 
Mbao za piner sio nzuri kuezekea,jinsi muda unavyoenda mbao zinaachana na msumari wa bati kiasi kwamba misumari inatoka juu hadi uipigilie tena,na ukiacha maji yakiingia ndo tundu linaongezeka.

Pia hata kutumia kwa dari napo hazifai. Hizo ni za kutengenezea meza za ofisini
 
Back
Top Bottom