Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hatari kweli kweli hili kundi....mpaka wanatumia 'drone' ...Nilikuwa nins wa underate sana m23 lakini juzi nilivyoona silaha za kisasa wanazomiliki,nilijiuliza maswali mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari kweli kweli hili kundi....mpaka wanatumia 'drone' ...Nilikuwa nins wa underate sana m23 lakini juzi nilivyoona silaha za kisasa wanazomiliki,nilijiuliza maswali mengi sana
Acha tu mkuu.DRC ni nchi ya hovyo sana, nchi kubwa yenye mali asili i ya kila aina lakini hata Jeshi la maana hawana - Yaani hao wahuni wanawalaza na viatu kweli?
Kuna mkono mzito nyuma yao mkuu...DRC ni nchi ya hovyo sana, nchi kubwa yenye mali asili i ya kila aina lakini hata Jeshi la maana hawana - Yaani hao wahuni wanawalaza na viatu kweli?
Pengine Tshisekedi kashaingia ubia na wenye duniaKuna mkono mzito nyuma yao mkuu...
Hamna kitu hapo hao jamaa ni time hii ni wababe jichanganye waamishie vita nchini mwako ndio utajua hujuiTime Will tell
Hamna kitu hapo yaani uende vitabubna silaha hafifu ilo jeshi kitakua halijitambui kama kweli unaenda Kwa adui na silaha hafifuWameenda na silaha hafifu chini ya mwamvuli wa sadc, nilisikia kuna reinforcement,ngoja tusubiri kikao cha sadc dar pia
Sasa kama viongozi wa nchi wameshindwa kulipa jeshi lao silaha nzito wanajeshi wafanyaje? Matokeo yake wanajeshi wanakimbia vita halafu wanapewa hukumu ya kifo.Hamna kitu hapo yaani uende vitabubna silaha hafifu ilo jeshi kitakua halijitambui kama kweli unaenda Kwa adui na silaha hafifu
Another bipolar disorder who needs immediately treatment and counseling.Hamna kitu hapo hao jamaa ni time hii ni wababe jichanganye waamishie vita nchini mwako ndio utajua hujui
Kweli haki Yako kuitwa nyani na mzunguAnother bipolar disorder who needs immediately treatment and counseling.
Kaanze matibabu mapemaKweli haki Yako kuitwa nyani na mzungu
Endelea kuandika English mzee Ili uitwe nyani vizuriKaanze matibabu mapema
Sasa kama sisi wenyewe tumechezea kichapo unataka tumfanyaje hao m23 sio watu wazuri walioground ndio wanavyosema wanatoa kichapo Cha mbwa kokoWaafrika tumeshindwa kumsaidia mwenzetu? tatizo ni nini? Ni sawa na jirani yako kuvamiwa na majambazi, anapiga kelele kuomba msaada; sisi tunabaki kuchungulia dirishani tu.
Umeniquote Kwa kukulupuka ndio maana nimemwambia kaanze matibabu mapema.Endelea kuandika English mzee Ili uitwe nyani vizuri
Wao wana slaa nzito kuliko sisi?Sasa kama sisi wenyewe tumemchezea kichapo unataka tumfanyaje hao m23 sio watu wazuri walioground ndio wanavyosema wanatia kichapo Cha mbwa koko