Kama unatokea Kimbiji, kati ya Chamazi na Mwenge wapi ni mbali zaidi?

Kama unatokea Kimbiji, kati ya Chamazi na Mwenge wapi ni mbali zaidi?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Ili kuendelea na drama zao za sizitaki mbichi hizi, msemaji wa Deportivo la Utopolo amenukuliwa akisema kuwa uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi ni mbaaali sana kwao ni kama walikuwa wanasafiri kwenda mkoani.

Sijajua hili wamegundua lini maana walikuwa wanapasifia balaa hadi pale walipopokea vipigo viwili vitakatifu.

Swali langu, kama bado Deportivo la Utopolo wameweka makazi yao kule vijiji vya Kimbiji, wapi kutakuwa mbali zaidi kati ya kutokea kule kwenda Chamazi au kwenda KMC Complex, Mwenge.

Kwa mnaoijua jiografia na miundombinu ya Dar embu mtujuze.
 
Hapo hakuilenga team, mana basi la wachezaji likiwa linawapeleka kwenye match hutumia escort ya polisi.. Kufika ni faster..
Hapa mashabiki ndo walilengwa zaid, ki jeografia chamazi ni mbali, ila mwenge ni center, kwa mashabiki Uwanja wa Kmc upo karibu zaid kufikiwa na mashabiki tofauti na chamazi..
 
Hapo hakuilenga team, mana basi la wachezaji likiwa linawapeleka kwenye match hutumia escort ya polisi.. Kufika ni faster..
Hapa mashabiki ndo walilengwa zaid, ki jeografia chamazi ni mbali, ila mwenge ni center, kwa mashabiki Uwanja wa Kmc upo karibu zaid kufikiwa na mashabiki tofauti na chamazi..
Kwani kule Chamazi na viunga vyake hakuna mashabiki? Na lini waliwahi kusema kuwa hilo ni tatizo?
 
Mleta mada unashindwa hata kuunganisha akili?
Sote tunajua Yanga wameukacha uwanja wa Azam kwa sababu ya internal conflicts and technical issues na sio busara sana kwa hao viongozi kuja wazi kusema maana zinaweza kuzaa mambo mabaya zaidi hususani siku za mbeleni. Sasa kujustify maamuzi yao, ndio sababu za kuelezwa kwa umma zinatengenezwa.

Ni mambo ya kupuuzia tu.
 
Ili kuendelea na drama zao za sizitaki mbichi hizi, msemaji wa Deportivo la Utopolo amenukuliwa akisema kuwa uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi ni mbaaali sana kwao ni kama walikuwa wanasafiri kwenda mkoani.

Sijajua hili wamegundua lini maana walikuwa wanapasifia balaa hadi pale walipopokea vipigo viwili vitakatifu.

Swali langu, kama bado Deportivo la Utopolo wameweka makazi yao kule vijiji vya Kimbiji, wapi kutakuwa mbali zaidi kati ya kutokea kule kwenda Chamazi au kwenda KMC Complex, Mwenge.

Kwa mnaoijua jiografia na miundombinu ya Dar embu mtujuze.
Mmmmh Mwenge mbali sana aisee mbali.
Chamazi ni karibu hususan ukikunjia kijichi kazi kwisha.
 
Ili kuendelea na drama zao za sizitaki mbichi hizi, msemaji wa Deportivo la Utopolo amenukuliwa akisema kuwa uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi ni mbaaali sana kwao ni kama walikuwa wanasafiri kwenda mkoani.

Sijajua hili wamegundua lini maana walikuwa wanapasifia balaa hadi pale walipopokea vipigo viwili vitakatifu.

Swali langu, kama bado Deportivo la Utopolo wameweka makazi yao kule vijiji vya Kimbiji, wapi kutakuwa mbali zaidi kati ya kutokea kule kwenda Chamazi au kwenda KMC Complex, Mwenge.

Kwa mnaoijua jiografia na miundombinu ya Dar embu mtujuze.
Tofauti ni 3km
 
Kmc kwakweli sisi wa City center karibu..
CHAMANZI mbali ni kama uwanja walijengewa watu wa Mbagala na viunga vyake
 
Wana utopolo Wakali hao....! Hizo ni Mechi mbili tu Wamedundwa.!

Tusubirie Al Hilal Omduman afanye yake ...Jangwani patakuwa hapakaliki.!
 
Chamanzi mbali bana sjui walijengewa watu wa mbagala maana ni akili mbovu kwenda kujenga huko.
 
Kama chamazi karibu nenda wewe
Yanga tunachezea Mwenge

Kmc kwakweli sisi wa City center karibu..
CHAMANZI mbali ni kama uwanja walijengewa watu wa Mbagala na viunga vyake
Kumbe mlikuwa mnaionea donge Simba?

Ila mtambue siku mkipangwa kucheza mechi zenu pale huku Simba pia ina mechi siku hiyo, itabidi mcheze saa 6 mchana. Kazi kwenu, kupanga ni kuchagua.
 
Back
Top Bottom