Wanaume mmeumbiwa majukumu.acheni kuyakwepa
Hela ya vocha tu mwenzio kachacha unakimbia kulea familia akibeba mimba utaweza? Na huko jukumu pia wengi mnakimbia kwa kukataa mimba.
Utamnyima hela lakini jua ukimuoa utamtunza.ukishindwa watamchukua wenzio wamtunze.
Hata katiba ya nchi kuhusu ndoa unasema mojawapo ya haki ya mke katika ndoa ni kutunzwa na mme wake.
Wanawake angalieni wanaume mnaotoka nao.mwanaume akiwa mbinafsi kwa kidogo usitarajie akawa mkarimu kwa kikubwa.
Epuka mwanaume mkimbiaji majukumu,atakucost!