Kama unaumia ukiombwa pesa na Mpenzi wako akiwa na shida, Je, utafurahia akisaidiwa na 'baharia' mwingine?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au kila mtu abaki na chake ye na hela zake na huyu na utamu wake
Nakusalimu bibie.
Hivi huo utamu wanawake huwa hawaupati au kuwa na uhitaji nao?

Mimi nafikiri huduma na msaada vitolewe kwenye mahusiano kwa sababu ya UPENDO na JUKUMU (Ndoani).

Sijui kwanini huo usemi naona unahalalisha ule usemi wa "mwanamke ni chombo cha starehe" au "mwanamke hana cha 'kuoffer' kwenye mahusiano zaidi ya 'gh***fjk'"

Ila ubahili mbaya sana, ikizungumziwa pesa unaweza kujikuta unaandika humalizi.
 
Hapa unamzungumzia mpenzi au mke!?

Kama ni mpenzi, suala la kumsaidia anapokwama ni hiari yangu mimi wala sio jukumu langu sababu ana wazazi wake na ndugu zake.

Kama ni mke, hilo ni jukumu langu katika majukumu yangu ya msingi katika kumhudumia halina kisingizio hilo.

Nb. Wanawake msiitake Haki bila kuutimiza Wajibu. Usitake huduma ikiwa hutaki kunihudumia mimi! Hii ni kwa ambao hatujaoa
 
Sijambo mimi kaka
Utamu tunapata wote hatukatai lakini mwanaume unatakiwa ujue wajibu wako basi sio mpaka ifikie hatua ya kuombwa

Unajua una mtu ana mahitaji yake muhudumie isifikie uko kwenye kuombana
 
Wanatufilisi bwana majukumu yote hayo Mara ana msiba,Mara shuhuri,au Mara hajala inakera
 
Swali chonnganishi bhana
Sisi UWABATA unatutesa tuanze kuwa wazia wapenzi wetu maana tumewabahili kama nini ila tunaenda nao tu kibabe
Sasa unapoleta swali kama hilo unaanza kutufanya kuwaza tumegongewa mara ngap na MABAHARIA
 
Nyie viumbe hata mbinguni tungekua tunaenda kwa kupigiwa simu mngeanza kumsumbua malaika wa zamu eti namba yako katoa wapi
 
Ningependa kujua hili.

Kwasababu kwa kawaida mtu akikwama mtu wa kwanza kumwambia ni yule wa karibu.

Ni nini mtazamo wako?
Ifike wakat wanadmu kujitambua 7bbu shida 2meumbiw binadam.Kwan wa2 weny ela hawa gongew?
 
Ukiona mimb imekataliwa na mwanaume jua ww mwanmke una wanaume wengi.
Hiv ww unawez kwend kujenga kweny kiwanja cha m2
 
Sio mzigo tu na raha pia. Maisha ni kupanda na kushuka, shida na raha, kama vile kwa mtu ambaye hayuko katika ndoa, sema mnakuwa wawili mkiyaishi pamoja.
 
Kuna mkuu hapo kasema kama kupeleka papuchi kwa mwingine apeleke tu,,, muhimu ni ahakikishe amerudi nayo hehehehehe..

Wazee tuoe wanawake tunaowamudu... Ukiona huduma anazotaka ziko juu ya uwezo wako achana nae tafuta utaeweza kwenda nae sawa.
 
Bebi anataka kubadilisha simu aliyonayo kaichoka, anataka Simu nyingine.
Huo mkwamo gani ? au kutiana jazba tu..
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]

Yeye kama kuna sehemu atataka apeleke K yake, yeye apele tu[emoji3525] cha msingi arudi nayo.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au kila mtu abaki na chake ye na hela zake na huyu na utamu wake
Utam kila mtu anao mwenyewe ni kiherehere chetu tu kuombana ushirika!
 
Bebi anataka kubadilisha simu aliyonayo kaichoka, anataka Simu nyingine.
Huo mkwamo gani ? au kutiana jazba tu..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†

Yeye kama kuna sehemu atataka apeleke K yake, yeye apele tu☹️ cha msingi arudi nayo.
Imekaa kiume sana 😁😁😁 tusileteane jamu!
 
Mapenzi ni biashara, kinachofuata ni Magu kuwafyatulia vitambulisho tu vya mmachina kwa mwaka 20K!
 
Kama una uwezo wa kumsaidia akikuomba we mpe tu mbona utamu anakupa jamani akiwa na shida kwa nini usimsaidie
Shida zenu huwa hazina kikomo! Af zote za hela tu shida ya kuomba kuchakatwa sio kipaumbele kwenu 😁😁😁
 
Tatizo Vocha ataitumia kuongea na mshenzi mwenzie sasa kwanini udhamini fedhuli, kulikoni nimpe vocha bora nimnunulie chakula ale πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…