Nitaeleza kifupi kwa mtindo wa maswali!
Kwa hali ya kawaida chimbuko la mapenzi hayo yanayosemwa kama yalikuwepo basi yatakuwa yameanza hivi!
Kuna uwezekano mke wa dogo alitafunwa, ndipo mama mchuu naye akaona ya nini kujibana akaona akamtunuku dogo! (Yamkini)
Kuna uwezekano mama mchuu aliona nyendo za baba mchuu anavyokula kondoo naye akaona ajitwalie mwana kondoo! (Yamkini)
Wanawake hawa niwaaminifu sana lakini kuna wakati mume ukizidisha umalaya unaweza kuwafanya nao wajione hawana thamani huingiwa na pepo la ngono kutoka mume mchepukaji! Bahati mbaya wenzetu hawa wakichepuka huenda wazimawazima! (Yamkini)
Baada hapo nini kinafuata!
Kuna uwezekano mtego uliwekwa watu wamfuatilie mama mchuu!
Halafu baba mchuu! Akazuga anasafiri.
Huenda dogo alibanwa vizuri watu wakafumua malinda na picha wakamchukua na mke akajisalimisha kwa mume kuahidi kuachana na dogo! Hivyo msongo wa mawazo dogo ukapelekea kujitundika (yamkini).
Au kuna uwezekano kuna watu walipewa kazi maalum na walipomaliza kuuwa, kwa kutokuwaza sawasawa huenda marehemu aliwapa password ya simu hivyo wakaingia kwenye akaunti ya dogo wakamwaga upupu ili kupoteza maboya! (Polisi wachunguze mwandiko wa dogo post za nyuma na post hiyo ya kumtaja Monica itazamwe imetumwa lini muda gani, simu ya dogo ilikutwa wapi n.k) Inaweza toa majibu (Yamkini).
Sifa ya Mtu anayeua mgoni huwa bado anamhitaji mke wake! Ili kuondoa tatizo na kujifariji huua mgoni wake kwanza kabla ya......(Yamkini).
Sifa nyingine ni good pretender ..anaweza zuga kusamehe, anaweza zuga hajaona chochote, anaweza zuga anauprndo mkubwa kumbe yajayo yanafurahisha na kuhudhunisha (Yamkini).
Sehemu pekee ya polisi kuchukua ujiko wa kiupelelezi ni katika tukio hili.
Kuunganisha dot hizi ....Mke wa dogo, simu, mama mchuu, baba mchuu, mawasiliano, tetesi kwa majirani na waumini, mipango ya safari ya bamchuu na siku ya tukio la dogo, eneo, simu ya dogo, mwandiko, muda wa post, mawasiliano ya dogo kabla ya tukio, mawasiliano ya mamchuu, mawasiliano ya bamchu, maoni ya mke wa dogo, majiran, waumin n.k !
Updates kamili!
Kwa mujibu wa Mange kimambi kunasauti ya mtu anaejiita mke wa marehem kwamba muwewe anaonekana alijaribu kujinyonga na tai ikakatika then akachukua shuka, kitu ambacho hakiafiki,
Pia anahoji kwanini simu ya mmewe iliformatiwa? Na anaendelea kupokea vitisho je kwanini mke wa marehem anapokea vitisho?
Vitisho vinafaida gani?
Inadaiwa pia mke wa mchu (moni) alilia sana siku mke wa marehem alipoolewa! Yeye alizani ni mahaba ya kiiman kutoka kwa mama mchu...wa kanisa kwa vijana wake! Kumbe yalikuwa mahaba mnyongee mmewe
...
Kwa hali ya kawaida chimbuko la mapenzi hayo yanayosemwa kama yalikuwepo basi yatakuwa yameanza hivi!
Kuna uwezekano mke wa dogo alitafunwa, ndipo mama mchuu naye akaona ya nini kujibana akaona akamtunuku dogo! (Yamkini)
Kuna uwezekano mama mchuu aliona nyendo za baba mchuu anavyokula kondoo naye akaona ajitwalie mwana kondoo! (Yamkini)
Wanawake hawa niwaaminifu sana lakini kuna wakati mume ukizidisha umalaya unaweza kuwafanya nao wajione hawana thamani huingiwa na pepo la ngono kutoka mume mchepukaji! Bahati mbaya wenzetu hawa wakichepuka huenda wazimawazima! (Yamkini)
Baada hapo nini kinafuata!
Kuna uwezekano mtego uliwekwa watu wamfuatilie mama mchuu!
Halafu baba mchuu! Akazuga anasafiri.
Huenda dogo alibanwa vizuri watu wakafumua malinda na picha wakamchukua na mke akajisalimisha kwa mume kuahidi kuachana na dogo! Hivyo msongo wa mawazo dogo ukapelekea kujitundika (yamkini).
Au kuna uwezekano kuna watu walipewa kazi maalum na walipomaliza kuuwa, kwa kutokuwaza sawasawa huenda marehemu aliwapa password ya simu hivyo wakaingia kwenye akaunti ya dogo wakamwaga upupu ili kupoteza maboya! (Polisi wachunguze mwandiko wa dogo post za nyuma na post hiyo ya kumtaja Monica itazamwe imetumwa lini muda gani, simu ya dogo ilikutwa wapi n.k) Inaweza toa majibu (Yamkini).
Sifa ya Mtu anayeua mgoni huwa bado anamhitaji mke wake! Ili kuondoa tatizo na kujifariji huua mgoni wake kwanza kabla ya......(Yamkini).
Sifa nyingine ni good pretender ..anaweza zuga kusamehe, anaweza zuga hajaona chochote, anaweza zuga anauprndo mkubwa kumbe yajayo yanafurahisha na kuhudhunisha (Yamkini).
Sehemu pekee ya polisi kuchukua ujiko wa kiupelelezi ni katika tukio hili.
Kuunganisha dot hizi ....Mke wa dogo, simu, mama mchuu, baba mchuu, mawasiliano, tetesi kwa majirani na waumini, mipango ya safari ya bamchuu na siku ya tukio la dogo, eneo, simu ya dogo, mwandiko, muda wa post, mawasiliano ya dogo kabla ya tukio, mawasiliano ya mamchuu, mawasiliano ya bamchu, maoni ya mke wa dogo, majiran, waumin n.k !
Updates kamili!
Kwa mujibu wa Mange kimambi kunasauti ya mtu anaejiita mke wa marehem kwamba muwewe anaonekana alijaribu kujinyonga na tai ikakatika then akachukua shuka, kitu ambacho hakiafiki,
Pia anahoji kwanini simu ya mmewe iliformatiwa? Na anaendelea kupokea vitisho je kwanini mke wa marehem anapokea vitisho?
Vitisho vinafaida gani?
Inadaiwa pia mke wa mchu (moni) alilia sana siku mke wa marehem alipoolewa! Yeye alizani ni mahaba ya kiiman kutoka kwa mama mchu...wa kanisa kwa vijana wake! Kumbe yalikuwa mahaba mnyongee mmewe
...