Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

muuaji atajilaumu... maana polisi wana njia zao za kisayansi(sayansi ya afrika Mshana Jr)


hapo probably kama katibu kauwawa ni kwa sababu??

1.maybe kuna siri nzito iliyokua nayo iliokua inahatarisha usalama wa church
2.maybe kuna siri nzito aliyo kua nayo either mama mchungaji au baba mama mchungaji? maybe???

mi nahisi hivo.... but muuaji ana Bahati mbaya polisi hawaamini UCHAWI ila wana sayansi yao 🙄 kwenye matukio kama haya
 
muuaji atajilaumu... maana polisi wana njia zao za kisayansi(sayansi ya afrika Mshana Jr)


hapo probably kama katibu kauwawa ni kwa sababu??

1.maybe kuna siri nzito iliyokua nayo iliokua inahatarisha usalama wa church
2.maybe kuna siri nzito aliyo kua nayo either mama mchungaji au baba mama mchungaji? maybe???

mi nahisi hivo.... but muuaji ana Bahati mbaya polisi hawaamini UCHAWI ila wana sayansi yao 🙄 kwenye matukio kama haya
 
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.View attachment 2376570
Inafikirisha sana!,Kwa wenye I.Q kubwa"Inaama huyo marehemu alimpenda sana Monica kiasi kwamba angependa kuishi na mke wa bosi wake?nasi kumla tena Kwa sirisiri that mean alipenda kuishi nae,(hapa mhh...)mpaka hakuona faida ya kuishi bila yeye angali anamke wake!
 
Nitaeleza kifupi kwa mtindo wa maswali!
Kwa hali ya kawaida chimbuko la mapenzi hayo yanayosemwa kama yalikuwepo basi yatakuwa yameanza hivi!

Kuna uwezekano mke wa dogo alitafunwa, ndipo mama mchuu naye akaona ya nini kujibana akaona akamtunuku dogo! (Yamkini)
Kuna uwezekano mama mchuu aliona nyendo za baba mchuu anavyokula kondoo naye akaona ajitwalie mwana kondoo! (Yamkini)
Wanawake hawa niwaaminifu sana lakini kuna wakati mume ukizidisha umalaya unaweza kuwafanya nao wajione hawana thamani huingiwa na pepo la ngono kutoka mume mchepukaji! Bahati mbaya wenzetu hawa wakichepuka huenda wazimawazima! (Yamkini)

Baada hapo nini kinafuata!

Kuna uwezekano mtego uliwekwa watu wamfuatilie mama mchuu!
Halafu baba mchuu! Akazuga anasafiri.
Huenda dogo alibanwa vizuri watu wakafumua malinda na picha wakamchukua na mke akajisalimisha kwa mume kuahidi kuachana na dogo! Hivyo msongo wa mawazo dogo ukapelekea kujitundika (yamkini).

Au kuna uwezekano kuna watu walipewa kazi maalum na walipomaliza kuuwa, kwa kutokuwaza sawasawa huenda marehemu aliwapa password ya simu hivyo wakaingia kwenye akaunti ya dogo wakamwaga upupu ili kupoteza maboya! (Polisi wachunguze mwandiko wa dogo post za nyuma na post hiyo ya kumtaja Monica itazamwe imetumwa lini muda gani, simu ya dogo ilikutwa wapi n.k) Inaweza toa majibu (Yamkini).

Sifa ya Mtu anayeua mgoni huwa bado anamhitaji mke wake! Ili kuondoa tatizo na kujifariji huua mgoni wake kwanza kabla ya......(Yamkini).

Sifa nyingine ni good pretender ..anaweza zuga kusamehe, anaweza zuga hajaona chochote, anaweza zuga anauprndo mkubwa kumbe yajayo yanafurahisha na kuhudhunisha (Yamkini).

Sehemu pekee ya polisi kuchukua ujiko wa kiupelelezi ni katika tukio hili.

Kuunganisha dot hizi ....Mke wa dogo, simu, mama mchuu, baba mchuu, mawasiliano, tetesi kwa majirani na waumini, mipango ya safari ya bamchuu na siku ya tukio la dogo, eneo, simu ya dogo, mwandiko, muda wa post, mawasiliano ya dogo kabla ya tukio, mawasiliano ya mamchuu, mawasiliano ya bamchu, maoni ya mke wa dogo, majiran, waumin n.k !
Njia gani katumia kujiua? maana taarifa hazifafanui kajiua kwa njia ipi.
 
sasa jambo la msingi kwenye suala hili ni kwa wale wote wenye taarifa sahihi au viashiria vya kutendeka kwa kosa kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kama kuna watu au mtu walio husika kutekeleza mauaji hayo wachukuliwe sheria.
 
Masanja angeamua kumuua huyo katibu asingezunguka sana kama mnavodhani, kuua ni ngumu ila pia rahisi tu .
Wauaji walimkosakosa masanja wakaua katibu na kumchafua Imma, kuna jambo katibu na masanja walikosea mahali.
Masanja anajua.
 
Ukitumia akili vzuri lazma unotice jambo kuna mengi nyuma ya pazia
 
Masanja angeamua kumuua huyo katibu asingezunguka sana kama mnavodhani, kuua ni ngumu ila pia rahisi tu .
Wauaji walimkosakosa masanja wakaua katibu na kumchafua Imma, kuna jambo katibu na masanja walikosea mahali.
Masanja anajua.
Hata mim nakubali masanja asingeua kishamba hivyo. Ila kwa sababu hili Jambo linauaiaha uhai wa mtu ni muhimu polisi watoe maekezo
 
Back
Top Bottom