Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Kizazi hiki kinapokosea ni hapo pa kujidanganya kuwa wanawake wametulia KULIKO wanaume.

Mnajidanganya sana na ndio MAANA wanawake wanazidi kuchanja mbuga kuwachanganya wanaume mpaka marafiki Wa karibu.

Kwa wanaume wenye uwezo Wa kuhimili wanawake wengi ni wachache sana.
Pili wanaume Siku hizi wanahongwa na wanawake kweni wanawake ndio wanye uchumi mana anaweza akauchukua Kwa mwenye pesa akaupeleka Kwa Mchepuko wake mwengine.

Lakini hayo ya kusema kuwa wanawake wametulia yanasambazwa na makahaba na wanaume wachache wanaotumia mwanya Huo kuwalaghai wanawake na kujihalalishia mbinu zao za uzinzi.

Wanaume wasio na michepuko ni wengi KULIKO wanawake wasio na michepuko.

Tabia za wanawake wazinifu zilielezwa kiufasaha kwenye Vitabu vya dini.
Wanawake walitoka barabarani wanajiremba na kubinua matako KULIKO wakiwa na waume zao Nyumbani . Hizo ni tabia za wanawake asilimia kubwa kujirembua Kwa wanaume Wa nje. Na Wanapokutana na wale wanaume wachache wenye tabia za uzinifu basi wanafikiri ni Wanaume wote Wana tabia hizo Kumbe tabia zao za kujiweka kwenye mandharí ya kujiuza zinawafanya wanaume Malaya kuwatafuta Kwa namna yoyote. Hili limejidhihirisha wazi Kwa MKE Wa Masanja.

Na WENGINE wengi tabia za wanawake Wa leo azihitaji sayansi ya kwenda Mars kutambua kuwa Wana kiu kupitiliza Kwa SABABU wanapenda starehe sana. Wanaume wengi Wana Maisha magumu na wanapata kipato Kwa kuumia sana hivyo Hata muda Wa starehe unakua mdogo.
Wanawake wana Mambo MENGI ya kianasa TIFAUTI na wanaume.
Mwanamke muda wote anawaza kujirembua na kipendeza Ili akipita awachanganye wanaume awe ameolewa au hanaolewa. TOFAUTI na wanaume ambao wanawaza kwanza Maisha na michongo ya pesa. Sasa Kwa Nchi yenye maskini 80% huwezi upata Hata wanaume 50% wachepukaji. Wanawake wengi wanapenda starehe hivyo HAWAWEZI kuchepuka na wanaume maskini ambao ni 80% .Sasa Hapo ni kwamba 80 % ya wanawake wanachepuka na 20% ya Wanaume Lakini pia wakishapata kwenye hiyo asilimia 80% wanakwenda kuchepuka na ile 20% Kwa kuhonga wao. Kwa wanaume 20% tu Ndiyo wenye uhakika Wa kuchepuka na uwezo Wa kugharamika uchepukaji.
Bosi mmoja MWANAUME Ofisini mwenye pesa na madaraka anaweza akachepuka na wanawake wote wanaofanya KAZI kwenye ofisi hiyo.
Kwa maana kwamba MWANAUME mmoja anasababisha wanawake 20 kusaliti Ndoa Zao
Sasa wanapojifariji wanaume ni pale wanapoona kuwa Bosi mmoja mwanamke Hana mvuto Wa kutembea na wafanyakazi 20 kwenye ofisi hiyo. Sio Kwa SABABU hataki kutembea nao lakini anaona aibu kujulikana mana wanaume wanatabia ya kusimulia wanapotembea na Mwanamke Fulani punde akipita mbele zao ila wanawake Hata Mbingu ipasuke hawezi kusema kuwa yule maume nimetembea Naye hasa akiwa ni MKE Wa MTU . Atasema tu Hawa wanaume hawajatulia hapo ndio Unajua kuna kitu tayari.

Tukirudi Kwa Masanja suala Hilo liko wazi kabisa Hata ukimwangalia Yule mwanamke na uvaaji wake na the way anavyosomeka usoni akiwa anapiga picha na Masanja utagundua kuwa ni Msaliti anayeaminika.

Suala kifo Cha Katibu lichunguze ndio lakni litavuruga zaidi Ndoa ya Masanja mana ukweli Utakua umewekwa wazi zaidi. Mana watapata mpaka msg na simu walizokua wanapigiania wakati wakiwa na mahusiano. Kama Walikua wanamtukana Masanja basi itabainika Kwa wazi zaidi.

MTU amekufa ni lazima ile simu ilidobdokea Mikononi mwa MKE halali Wa Katibu na huenda ndio ameonyesha watu.

Kuna ishu moja ilitokea MWANAUME akalazwa hospitalini Wakati Wa Oparation mwanamke akachukua simu.
Kitu Cha kwanza alikimbilia kuipekua ;allikuta msg mpaka zinazoonyesha kuwa mume wake alikua ana Mwanamke waliyekua Wanatembea kinyume na maumbile. Mwanamke akawa anafoko kuwa ni bora huyo MWANAUME afe tu wala asipone.

Suala lililopo Hapo Kwa Masanja inaonekana kuwa mwanamke alikua anamhonga Yule Katibu pesa ili asije Akawaambiwa watu ikajulikana. Sasa kijana alipooa ikawa ni tabu mana kujulikana ingekua ni rahisi mana wanaume ni wajinga kwenye kucheat TOFAUTI na wanawake anaweza akawapanga Foleni na wanaume wasijuane.
Ingekua ni rahisi Kwa MKE Wa Katibu kujua na kuliwashia Kwa watu.
Sasa Hali ikawa ni mbaya Kwa Katibu kwani amezoea mapenzi ya kulipwa na hadaiwe Hela ya saluni. Sasa anajikuta ana Mwanamke, majukumu yananza,Kabla ya tendo la Ndoa anaambiwa baby Nataka kwenda saluni.Mara oooh, Kuna Mchango nadaiwa, mara hereni ya dhahabu.
Sasa kijana alizoea bwerere hawezi kuwajibika kwenye ndoa.

Wanawake waliopo kwenye ndoa wanawaharibu Vijana maskini na kuvuruga ndoa nyingi.
Kifupi umetuelezea vyema sana wanawake hujaruka hata point 1! Umepita mle mle...mchawi simu ya Katibu ila masanja ajiandae kisaikolojia...
Kiukweli mke wa masanja hii picha alopiga na mumewe wanassali hiyo nguo haijakaa ki umama mchungaji kabisa(white dress)..hizo nguo awaachie wengine sio yeye kama anamaanisha yeye ni mama mchungaji kweli!
Nb.Mawazo ya kizee haya
 
Mke wa Masanja akipata mpelelezi mzuri na masanja akapata mpelelezi mzuri wakahojiwa kwa pamoja imeisha mapema sana
Wataharibu Kila kitu mana huenda Kuna michepuko mingi zaidi alikuwa nayo ,Yote itajulikana mana wataomba taarifa kutoka cyber na mitandao ya simu.

Kila uovu Wa huyo mwanamke itabainika.

Ni Bora Masanja amebaini mapema mana atachukua tahadhari .
Wanawake Wa namna hiyo ni Hatari Kwa wanaume wenye Mali.
Anaweza akampata kujina akamshawishi wamuue mumewe Ili wachukue Mali.
 
Kupitia huu ujumbe, Monica naye anatakiwa kuchukua maamuzi magumu kama aliyochokua Katibu, ili haki ipatikane.

How come Monica aishi maisha ya furaha, upendo na amani! Huku kukiwa kuna mtu amejitoa uhai kwa ajili yake? Monica, please!! Ni wakati wako huu wa kumwaga ugali. Mchepuko wako ameshamwaga mboga!

Huna thamani tena kwa jamaa yako Masanja, hata kama amekusamehe kwa nje! Ila moyoni, bado ataendelea kuumia maisha yake yote. Na ndivyo wanaume wengi tulivyo. Kuchapiwa kunauma sana aisee! Ila sisi kuchepuka, tunaona kama haki vile.
Ana vimeo viwili kwa mumewe na kwa mke wa katibu.. Yaani kasaliti double impact... Bado kuna hii mimacho na midomo ya jamii ya wandewa
 
Hii picha inatafsiri nyingi sana! Ukitazama vidole vya mikono wanashilia kushea penzi moja pasipo kujua.
Na mkono wa kushoto mfukoni wanaashilia kila mtu ana ndoa yake anayomiliki!
Na kodole kingine cha dogo kimeelekea chini maana yake ataanza kwenda chin, vazi la masanja linaashilia.......
Yani ivyo vidole vyote vimepima sana oil ya mama mchuu.. yani tafsiri ni nyingi kwakweli[emoji16]
 
Polisi hasa kwa matukio kama haya ya mauaji, watajua kila kitu, yaani ukweli utakaa hadharani, hizi simu zina siri zooote, na wataona kila kitu.
Polisi hawa hawa wa mchongo
 
Nitaeleza kifupi kwa mtindo wa maswali!
Kwa hali ya kawaida chimbuko la mapenzi hayo yanayosemwa kama yalikuwepo basi yatakuwa yameanza hivi!

Kuna uwezekano mke wa dogo alitafunwa, ndipo mama mchuu naye akaona ya nini kujibana akaona akamtunuku dogo! (Yamkini)
Kuna uwezekano mama mchuu aliona nyendo za baba mchuu anavyokula kondoo naye akaona ajitwalie mwana kondoo! (Yamkini)
Wanawake hawa niwaaminifu sana lakini kuna wakati mume ukizidisha umalaya unaweza kuwafanya nao wajione hawana thamani huingiwa na pepo la ngono kutoka mume mchepukaji! Bahati mbaya wenzetu hawa wakichepuka huenda wazimawazima! (Yamkini)

Baada hapo nini kinafuata!

Kuna uwezekano mtego uliwekwa watu wamfuatilie mama mchuu!
Halafu baba mchuu! Akazuga anasafiri.
Huenda dogo alibanwa vizuri watu wakafumua malinda na picha wakamchukua na mke akajisalimisha kwa mume kuahidi kuachana na dogo! Hivyo msongo wa mawazo dogo ukapelekea kujitundika (yamkini).

Au kuna uwezekano kuna watu walipewa kazi maalum na walipomaliza kuuwa, kwa kutokuwaza sawasawa huenda marehemu aliwapa password ya simu hivyo wakaingia kwenye akaunti ya dogo wakamwaga upupu ili kupoteza maboya! (Polisi wachunguze mwandiko wa dogo post za nyuma na post hiyo ya kumtaja Monica itazamwe imetumwa lini muda gani, simu ya dogo ilikutwa wapi n.k) Inaweza toa majibu (Yamkini).

Sifa ya Mtu anayeua mgoni huwa bado anamhitaji mke wake! Ili kuondoa tatizo na kujifariji huua mgoni wake kwanza kabla ya......(Yamkini).

Sifa nyingine ni good pretender ..anaweza zuga kusamehe, anaweza zuga hajaona chochote, anaweza zuga anauprndo mkubwa kumbe yajayo yanafurahisha na kuhudhunisha (Yamkini).

Sehemu pekee ya polisi kuchukua ujiko wa kiupelelezi ni katika tukio hili.

Kuunganisha dot hizi ....Mke wa dogo, simu, mama mchuu, baba mchuu, mawasiliano, tetesi kwa majirani na waumini, mipango ya safari ya bamchuu na siku ya tukio la dogo, eneo, simu ya dogo, mwandiko, muda wa post, mawasiliano ya dogo kabla ya tukio, mawasiliano ya mamchuu, mawasiliano ya bamchu, maoni ya mke wa dogo, majiran, waumin n.k !
Polisi wap wachunguze??? Kama tatizo la panyaroad wameona warahisishe kwa kushuti tu…Hawana muda wakujua mlolongo hawa
 
In my observation kuna mambo kadhaa behind the scene; kisasi, chuki, usaliti, wivu na maadui na kila moja ukilichambua linamaana kubwa.
 
Hii inaonekana ni clear assasination. Na waliofanya sio proffesional. Walipataje password? Hapo ni kutia ndani huyo mchungaji wa mchongo pamoja na mke wake. Siku mbili ni nyingi ukweli wote utajulikana.
How is that!??
 
Wala hakuhitajiki nguvu kubwa kwenye hili.. Macho ya marehemu kupitia retina yamehifadhi matukio yote ya mwisho! Hivi unajua ni kwanini baadhi ya wauaji huwatoboa macho wahanga wao?
 
Nitaeleza kifupi kwa mtindo wa maswali!
Kwa hali ya kawaida chimbuko la mapenzi hayo yanayosemwa kama yalikuwepo basi yatakuwa yameanza hivi!

Kuna uwezekano mke wa dogo alitafunwa, ndipo mama mchuu naye akaona ya nini kujibana akaona akamtunuku dogo! (Yamkini)
Kuna uwezekano mama mchuu aliona nyendo za baba mchuu anavyokula kondoo naye akaona ajitwalie mwana kondoo! (Yamkini)
Wanawake hawa niwaaminifu sana lakini kuna wakati mume ukizidisha umalaya unaweza kuwafanya nao wajione hawana thamani huingiwa na pepo la ngono kutoka mume mchepukaji! Bahati mbaya wenzetu hawa wakichepuka huenda wazimawazima! (Yamkini)

Baada hapo nini kinafuata!

Kuna uwezekano mtego uliwekwa watu wamfuatilie mama mchuu!
Halafu baba mchuu! Akazuga anasafiri.
Huenda dogo alibanwa vizuri watu wakafumua malinda na picha wakamchukua na mke akajisalimisha kwa mume kuahidi kuachana na dogo! Hivyo msongo wa mawazo dogo ukapelekea kujitundika (yamkini).

Au kuna uwezekano kuna watu walipewa kazi maalum na walipomaliza kuuwa, kwa kutokuwaza sawasawa huenda marehemu aliwapa password ya simu hivyo wakaingia kwenye akaunti ya dogo wakamwaga upupu ili kupoteza maboya! (Polisi wachunguze mwandiko wa dogo post za nyuma na post hiyo ya kumtaja Monica itazamwe imetumwa lini muda gani, simu ya dogo ilikutwa wapi n.k) Inaweza toa majibu (Yamkini).

Sifa ya Mtu anayeua mgoni huwa bado anamhitaji mke wake! Ili kuondoa tatizo na kujifariji huua mgoni wake kwanza kabla ya......(Yamkini).

Sifa nyingine ni good pretender ..anaweza zuga kusamehe, anaweza zuga hajaona chochote, anaweza zuga anauprndo mkubwa kumbe yajayo yanafurahisha na kuhudhunisha (Yamkini).

Sehemu pekee ya polisi kuchukua ujiko wa kiupelelezi ni katika tukio hili.

Kuunganisha dot hizi ....Mke wa dogo, simu, mama mchuu, baba mchuu, mawasiliano, tetesi kwa majirani na waumini, mipango ya safari ya bamchuu na siku ya tukio la dogo, eneo, simu ya dogo, mwandiko, muda wa post, mawasiliano ya dogo kabla ya tukio, mawasiliano ya mamchuu, mawasiliano ya bamchu, maoni ya mke wa dogo, majiran, waumin n.k !
Upelelezi makini kama huo wanauweza maaskari wa nchi zingine tu ila sio Tozonia
Hawa wa hapa kwetu wapo kwa ajili ya kukamata wapinzani tu subiri kipindi cha uchaguzi uone vile intelligence yao ilivyo makini kugundua uwepo wa machafuko na uvunjifu wa amani kwenye mikutano ya Chadema
 
Huyo Dogo amejinyonga kweli? Au amekufa kweli? Ebu tuanzie hapo!! Sijaona hata picha mtandaoni za msiba wa huyo dogo kwa jinis habari zake zilivyotrend ,usikute ni mission ya Game changers and Spin Doctors wanatuondoa kwenye reli la MATOZO na PDF la MAZERI.
 
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE,
Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.View attachment 2376570
Maswali ni mengi sana na wakuyajibu kwa usahihi ni upelelezi wa kina.
 
Asingeweza, maana unapomuua mgoni wako kwa siri ni kuwa bado unapenda kuendelea ishi na mke, so why umchafue tena ukijua wazi itapelekea matatizo na hata kuachana?
Ila nataka jua kama pengine masanja yeye ndie aliingilia mahusiano ya katibu na mkewe na akamuoa...maana nowadays tunaoa wake za watu.
Hii inaweza kuwa hoja.
 
Huu uchunguzi msahau angekuwa chadema asubuhi tu mandatah wangetoa majibu. Ila kwakuwa ni fisi sahau kuona upelelezi.
 
All in all....inasikitisha sana watu wanalichukulia jambo hili kijuu juu, kwamba amejiua kwa sababu ya mapenzi basi tuache, lakini pamoja na hayo ofisi ya dci/polisi kwa nini wasichunguze?

Kuna uhakika gani kwamba jamaa alijiua, mwandiko wa kwenye karatasi ni wake, vipi kuhusu alama za vidole kwenye karatasi ni zake? Kwa nini polisi wasifanye forensic investigation?

Kuliwa mke inauma,.....si rahisi mla mke wa mtu ajiue kizembe namna hii, something is not adding up. Mwenye mke na mkewe wahojiwe. it could a revenge murder
Ujiue kwa mwanamke ambaye umeshamla,n ameshaolewa,wanaume hatupogi hivo ktk mapenzi,kaam dem ushamla na value inapungua unless awe mkeo
 
Kupitia huu ujumbe, Monica naye anatakiwa kuchukua maamuzi magumu kama aliyochokua Katibu, ili haki ipatikane.

How come Monica aishi maisha ya furaha, upendo na amani! Huku kukiwa kuna mtu amejitoa uhai kwa ajili yake? Monica, please!! Ni wakati wako huu wa kumwaga ugali. Mchepuko wako ameshamwaga mboga!

Huna thamani tena kwa jamaa yako Masanja, hata kama amekusamehe kwa nje! Ila moyoni, bado ataendelea kuumia maisha yake yote. Na ndivyo wanaume wengi tulivyo. Kuchapiwa kunauma sana aisee! Ila sisi kuchepuka, tunaona kama haki vile.
Monica amemwambia pastor (bunio) , "marehemu amekuwa akinitaka kimapenzi na nilimwambia suala hili ningeliifikisha kwako muda wowote baby,wala hajanikula ndio maana kaniandikia msg". mwisho wa bunio. Kwa hiyo hawezi kujikufa kama unavyodhani
 
Back
Top Bottom