Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Kama upelelezi hautafanyika vizuri Kanisa la Masanja basi tutarajie tukio jingine

Nitaeleza kifupi kwa mtindo wa maswali!
Kwa hali ya kawaida chimbuko la mapenzi hayo yanayosemwa kama yalikuwepo basi yatakuwa yameanza hivi!

Kuna uwezekano mke wa dogo alitafunwa, ndipo mama mchuu naye akaona ya nini kujibana akaona akamtunuku dogo! (Yamkini)
Kuna uwezekano mama mchuu aliona nyendo za baba mchuu anavyokula kondoo naye akaona ajitwalie mwana kondoo! (Yamkini)
Wanawake hawa niwaaminifu sana lakini kuna wakati mume ukizidisha umalaya unaweza kuwafanya nao wajione hawana thamani huingiwa na pepo la ngono kutoka mume mchepukaji! Bahati mbaya wenzetu hawa wakichepuka huenda wazimawazima! (Yamkini)

Baada hapo nini kinafuata!

Kuna uwezekano mtego uliwekwa watu wamfuatilie mama mchuu!
Halafu baba mchuu! Akazuga anasafiri.
Huenda dogo alibanwa vizuri watu wakafumua malinda na picha wakamchukua na mke akajisalimisha kwa mume kuahidi kuachana na dogo! Hivyo msongo wa mawazo dogo ukapelekea kujitundika (yamkini).

Au kuna uwezekano kuna watu walipewa kazi maalum na walipomaliza kuuwa, kwa kutokuwaza sawasawa huenda marehemu aliwapa password ya simu hivyo wakaingia kwenye akaunti ya dogo wakamwaga upupu ili kupoteza maboya! (Polisi wachunguze mwandiko wa dogo post za nyuma na post hiyo ya kumtaja Monica itazamwe imetumwa lini muda gani, simu ya dogo ilikutwa wapi n.k) Inaweza toa majibu (Yamkini).

Sifa ya Mtu anayeua mgoni huwa bado anamhitaji mke wake! Ili kuondoa tatizo na kujifariji huua mgoni wake kwanza kabla ya......(Yamkini).

Sifa nyingine ni good pretender ..anaweza zuga kusamehe, anaweza zuga hajaona chochote, anaweza zuga anauprndo mkubwa kumbe yajayo yanafurahisha na kuhudhunisha (Yamkini).

Sehemu pekee ya polisi kuchukua ujiko wa kiupelelezi ni katika tukio hili.

Kuunganisha dot hizi ....Mke wa dogo, simu, mama mchuu, baba mchuu, mawasiliano, tetesi kwa majirani na waumini, mipango ya safari ya bamchuu na siku ya tukio la dogo, eneo, simu ya dogo, mwandiko, muda wa post, mawasiliano ya dogo kabla ya tukio, mawasiliano ya mamchuu, mawasiliano ya bamchu, maoni ya mke wa dogo, majiran, waumin n.k !
KADA ACHUNGUZWAGI..... ANGEKUWA NI WA UPANDE WA PILI UNGEONA HADI DNA INVESTIGATION [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
...Pia majirani wanathibitisha mke wa masanja alikuwa anaenda Mara kadhaa asubuhi nyumbani kwa marehemu wakati mkewe marehemu yupo kazini..
muda wa kutoka wangetutajia ingekua poa kwani eneo lako la kukutana ni kanisani nyumbani ugonjwa
 
Sio rahisi kihivyo
Hajui kwamba wasap sikuhizi ndo habari ya mjini (telegram)

Ila nirahisi Sana endapo walikua wanatumia sms kawaida au kupigiana hovyohovyo simuzao kwani polisi na watumishi makampuni ya mitandao ni hovyo kabisa bongo hapa hurikisha taarifa bila hata kutazama atharizake ....kisa hongo wanazotuzwa na wahusika
 
Hii inaonekana ni clear assasination. Na waliofanya sio proffesional. Walipataje password? Hapo ni kutia ndani huyo mchungaji wa mchongo pamoja na mke wake. Siku mbili ni nyingi ukweli wote utajulikana.
Kweli wakipelekwa kwenye base zenu kule watasema tu
 
SIONI TENA MAANA YA MAISHA [emoji24]. MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU [emoji24]. Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT [emoji3590] Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.View attachment 2376570

Halafu kamanda mzoefu na Kachero kama Muliro anasema eti katibu alikuwa hajala mzigo bali anaomba?
Hapo hakuna kujiuliza mara mbili juu ya hilo, huyo alikuwa mtu wake.
YOUR TIME AND YOUR MOMENT?
alimaanisha nini kama sio past tense?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Halafu kamanda mzoefu na Kachero kama Muliro anasema eti katibu alikuwa hajala mzigo bali anaomba?
Hapo hakuna kujiuliza mara mbili juu ya hilo, huyo alikuwa mtu wake.
YOUR TIME AND YOUR MOMENT?
alimaanisha nini kama sio past tense?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huko kwa Mange kasika Mke wa katibu anaomba ulinzi, ansema simu yake na mmewe walifuta kila kitu polisi! Sasa kwanini waformat simu?
 
Ni kama Masanja keshamalizwa na hii kashfa atajifaragua kwa muda lakini tayari uharibifu wa taswira yake umeshaingia doa kubwa
 
Mtoto wa mchuu
FB_IMG_1665587952360.jpg
 
Huyo Dogo amejinyonga kweli? Au amekufa kweli? Ebu tuanzie hapo!! Sijaona hata picha mtandaoni za msiba wa huyo dogo kwa jinis habari zake zilivyotrend ,usikute ni mission ya Game changers and Spin Doctors wanatuondoa kwenye reli la MATOZO na PDF la MAZERI.
Hilo linawezekana Sana TZ kilakitu kinawezekana.😁😁😁😁😁
 
Ni kama Masanja keshamalizwa na hii kashfa atajifaragua kwa muda lakini tayari uharibifu wa taswira yake umeshaingia doa kubwa
Tafuta Ile video masanja akiongea kanisani kwake baada ya kutoka state... tizama body language ya mama mchungaji (alikua akiforce tabasamu)... Tizama movement ya mdomo wa masanja..(Imejaa hasira, uoga na uongo) tizama idadi ya waumini..(imepungua na wamekosa imani)
 
Back
Top Bottom