Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji116] [emoji116] [emoji116]Hii tezi Dume ingekuwa inakaguliwa na madaktari wa kike inakuwa poa tu kuliko mwanaume mwenzio inaleta ukakasi sana.
Msijali daktari mwanamke nitakuwepo, wale wasiotaka kupimwa na wanaume watakuja kwangu niwafanyie vitu hivyo saba hapo juu,
Hahahaha kama nawaona vile mnavyoinama.
Halafu mbona upimaji wa kansa ya titi wanawake sio wabishi kuchezewa matiti yao?? nyie wanaume mna nini kwenye makalio yenu?