Hahahhaha kiukweli napenda kusoma post zako nimekuwa shabiki wako
Wa arusha mkuje huku mnaitwa na pedeshee kiduku lilo mtu na pesa zake
kapeace mama ebu pita huku hivi haupo arusha eenh
Dah fursa inanipita hivi hivi yaani πππ
Nipo Arusha, tatizo hii jela shoga yangu nachomoka vipi ππKwan uko wap na ww..nilitaka nikutag
ππππππNipo Arusha, tatizo hii jela shoga yangu nachomoka vipi ππ
Hahahhaha mm kwakweli nikisoma post zake nikimalizia na comments za wananzengo kama nina stress zangu zinapunguaHata mm napendaga post zake..yupo serious hahaaa..had raha[emoji23][emoji23]..ashukuru siko Arusha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo Arusha, tatizo hii jela shoga yangu nachomoka vipi [emoji3][emoji3]
Acha tu mwenza, hlf wanateketeza pesa bure wakati mi nipo hovyo, laki moja ya mafuta wakazurure bure bora waokoe jahazi huku kwangu. Na baridi hii nawashauri walale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jela ya kufa na kuzikana
Hahhahaa mwenza kufulia kwako unataka kuwapangia watu na hela zaoAcha tu mwenza, hlf wanateketeza pesa bure wakati mi nipo hovyo, laki moja ya mafuta wakazurure bure bora waokoe jahazi huku kwangu. Na baridi hii nawashauri walale
Not fair ππHahhahaa mwenza kufulia kwako unataka kuwapangia watu na hela zao
HahahhahaNot fair [emoji24][emoji24]
Namalizia kula makukuru nikalaleHahahhaha
Mama pambana na hali yako huna hela jivutie shuka ulale na bwana jela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namalizia kula makukuru nikalale
Ni mahindi na maharage yanachemshwa Kama makande, tofauti haya hayaungwi unayasonga na kuweka chumvi tu. Yanakuwa makavu. Just Imagineπ.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenza makururu ndio manini
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] kwa nn usiyaunge kama makande au ndio yanatakiwa kuwa hivyoNi mahindi na maharage yanachemshwa Kama makande, tofauti haya hayaungwi unayasonga na kuweka chumvi tu. Yanakuwa makavu. Just Imagine[emoji849].
Ukiyaunga hayataitwa makukuru. Yana utamu wake lkn π[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] kwa nn usiyaunge kama makande au ndio yanatakiwa kuwa hivyo