Kama upo Arusha njoo tutumie pesa... Usiwe unasimuliwa tu jinsi watu wanavyotumia pesa.

Kama upo Arusha njoo tutumie pesa... Usiwe unasimuliwa tu jinsi watu wanavyotumia pesa.

Ruka sarakasi zote ila saa nane usiku ikukute kaunta ya Picnic Bar utawakuta non-jf users wengi sana wenye upendo wa ajabu na hawatakuangusha kwelikweli.
 
Ni mahindi na maharage yanachemshwa Kama makande, tofauti haya hayaungwi unayasonga na kuweka chumvi tu. Yanakuwa makavu. Just Imagine[emoji849].
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] kwa nn usiyaunge kama makande au ndio yanatakiwa kuwa hivyo
 
Back
Top Bottom