Kama upo Arusha njoo tutumie pesa... Usiwe unasimuliwa tu jinsi watu wanavyotumia pesa.

Kama upo Arusha njoo tutumie pesa... Usiwe unasimuliwa tu jinsi watu wanavyotumia pesa.

Nmemaliza meeting ya Kimataifa hapa Arusha... Wenzangu wameenda Serengeti na Ngorongoro... Mimi nilikuwa huko miezi michache iliyopita nikiwa na RR. Yaan Range Rover.

Sijaona haja ya kwenda nmeona nipoe tu hapa Impala Hotel maana ndo nmepazoea ingawa si Hotel kubwa kama za Dubai, Switz,Usa au Ufaransa.

Nataka nifike pale wanapopika chakula cha Ethiopia. Then nadhan kidogo niingie mtaani maana Arusha siifahamu kabisa.

Nahitaji kuonana na watu wawili watatu smart wa Jf. Mmoja wa kiume na wawili wakike.tuweze badilishana mawazo kidogo nami nijifunze maisha flani ya watu wengine. Pia wanizungushe viwanja mbalimbali hasa vya watu wa daraja la kati.

Maana ukinipeleja Ngurdoto sijui wapi...utakuwa hujanifirahisha maana huko hamna jipya wananifaham mpaka wahudumu.so nataka mwenyeji wa arusha pia nipate na mdada naye anipe experience yake.so tutakuwa watu wanne.

Sijaja na Gari tulitumia Flight.so options ni mimi kuhire, tutumie Uber au kama una gari nzuri hizi za Ulaya kuanzia mwaka 2016-2019 iwe haijawahi gongwa, mpya kabisa. Nitaweka mafuta ya tsh100,000.kuanzia saa 11 mpaka zaa 5 usiku.

So mtu anifuate inbox tuyajenge kumbuka ninapenda kumfaham mtu wa kuonana naye before
Design tongoza ya madomo zege!!
 
Shee hii mutu nataka fanya nini erooo??Hapana mimi lengeta sarau ero ntaua mutu haki ya mama.!!
 
hahaaaaaa usiombee uvute bangi ukiwa na njaaa., stress mbaya sana, huyu jamaa yupo ushirombo analima makebich na yamekufa yote kwa mvua, na hapo alipo kapiga ndefuu.......you can imagine how desperate he is........

You made my day
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimejikuta nacheka mwanzo mwisho,haki sifa hizi
 
teh teh teeth demis angekuwa arusha jaman amsaidie kutumia
Hahahhaha kiukweli napenda kusoma post zako nimekuwa shabiki wako

Wa arusha mkuje huku mnaitwa na pedeshee kiduku lilo mtu na pesa zake

kapeace mama ebu pita huku hivi haupo arusha eenh
 
Ha haa! Masikini wana ndoto nyingii!
Dah! Ukute mtoa mada hajala mchana. Kaenda kulala kitandani huku anapiga miayo, baada ya kushtuka ndio anaona bora aandike hapa vile ana wish angekuwa...
 
Back
Top Bottom