Kama upo chini ya miaka 40 usitumie pesa kuyapata mapenzi ya wanawake

Kwa mtu aliyeyajulia mapenzi ukubwani upo sahihi.
Taikon uko kinadharia sana, labda ujichukulie sheria mkononi

la sivyo, uchi wa KE utausikia kwenye bomba
maana anayenunua, aliyeoa, anaye-date, woote hao wanatumia 'pesa' kwa ajili ya penzi
 
Mkuu yan naona umeniongelea mimi kabisa, siwezi taka utelezi nikaulipia maana nitakuwa nimekosa cha kuongea mpka nitumie pesa. Hizo pesa fanyia mambo ya msingi na maendeleo na sio kuzigawa kwa kila mwanamke ili upate utelezi..
 
Taikon uko kinadharia sana, labda ujichukulie sheria mkononi

la sivyo, uchi wa KE utausikia kwenye bomba
maana anayenunua, aliyeoa, anaye-date, woote hao wanatumia 'pesa' kwa ajili ya penzi

Nipo kinadharia? Mkuu unafikiri naongea kujifurahisha hapa!

Kwenye hii dunia usipokuwa na akili utatumia pesa kununua hata vitu vya bure. Ni hayo tuu.
 
Hivi jamaa ile kesi ya kumshtaki SHEMEJI ukishirikiana na mchumba mwanasheria ishaanza? Nina mchango wangu wa kesi na harusi only and anly ukishindaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Huwezi kuwa na akili ya kutafuta pesa kama hujui kuitumia. Ukipata pesa utajua hiyo ni moja ya kazi yake tu basically kuokoa nguvu na muda.

Alafu Kama ulikuwa hujui wenye pesa wala hawahongi Ila Wale wavuja jasho ndio wanahenyeka.

Usijiweka kwenye Vigezo nilivyovitaja pale juu lazima hii dunia wanawake wakufanye mtumwa.

Angalau uwe na age ya 45+ huko hata ukihonga utapata watetezi.
 
Mkuu, inabidi utunukiwe Tuzo ya Nobel ya Fasihi...[emoji1628][emoji1628][emoji471][emoji313][emoji322][emoji323]
 
Mkuu yan naona umeniongelea mimi kabisa, siwezi taka utelezi nikaulipia maana nitakuwa nimekosa cha kuongea mpka nitumie pesa. Hizo pesa fanyia mambo ya msingi na maendeleo na sio kuzigawa kwa kila mwanamke ili upate utelezi..

Angalau uwe na kipato cha kutosha na umeshawekeza Sana.

Ogopa unampa mwanamke pesa alafu anakuona Fala.
Yaani mwanamke unamhonga pesa alafu akiwa na wenzake utasikia mtu mwenyewe hana hata kiwanja yaani ni jingajinga tuu.
 
Alafu Kama ulikuwa hujui wenye pesa wala hawahongi Ila Wale wavuja jasho ndio wanahenyeka.

Usijiweka kwenye Vigezo nilivyovitaja pale juu lazima hii dunia wanawake wakufanye mtumwa.

Angalau uwe na age ya 45+ huko hata ukihonga utapata watetezi.

Taikon pisi kali utaendelea kuziiita shemeji tu we endelea kuwa na mkono wa birika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukishasikia neno kesi basi ujue Mpare ndiye Guest of honour
taikoni ata usingesema ile kitu sijawahi ilipia kwa pesa mkuu, bora niikope alafu nimrushe kuliko nitoe pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…