Amini usiamini mkuu.Chai
Haya ni maneno tu kama maneno mengineChakata uchakatuliwe
Leta ramani nikuelekeze Lodge nzuriPoleni wanaume wote ambao wake zenu wako mbali nanyi. Hakika mnaibiwa sana.
Weekend hii ni zamu ya wanaume wa Dar amabao wake zao wako mikoani. Mmoja wa wanaume hao atachapiwa weekend hii, maana nimepata mwaliko toka kwa mkewe niende kumchakata..
Mkuu siendi lodge. Nitalala kwa mwanamke, maana mumewe atakuwa bize na kazi zake Dar.Leta ramani nikuelekeze Lodge nzuri
Hivi wewe ni sisi au wewe ni "Untha"Poleni wanaume wote ambao wake zenu wako mbali nanyi. Hakika mnaibiwa sana.
Weekend hii ni zamu ya wanaume wa Dar amabao wake zao wako mikoani. Mmoja wa wanaume hao atachapiwa weekend hii, maana nimepata mwaliko toka kwa mkewe niende kumchakata..
Kuna kashata au bagia?Chai
Upi mkuu??Ukishamchakata tuletee story kwenye uzi wetu pendwa ule
JF ni stress free zone. Ukipata stress ujue umetaka wewe tuHakika nyuzi zako zinashabihiana na jina lako. Maana leo ni mwanume unaenda kuchakata kesho unakuja kama mwanamke uliyechakatwa. Wewe kweli 'sexless'
For security and safety reasons, hapana.Tag location mkuu, mtu apigwe mtungo
Uzi wangu mm siyo masihara. Niko serious. Hivyo kila mwanaume wa Dar aliye na mke mikoani afanye jitihada za kumlinda mkewe weekend hiiHii ingefaa kuandikwa kule kimasihara tu.....