Kama upo Dodoma tuanze hii biashara

Kwa Dodoma Juice ni bado sana
  • hakuna joto kama Dar
  • vumbi haljatulia, juice za kuchanganya na kuongeza sukari zinaleta kisukari
  • Mabwana na Mabibi afya hawatakuachia
  • utamwagia kama yule Bint wa Posta Dar
anza mwenyewe kidogo kidogo huku unasoma, Bias HASARA ni lazima uanze nayp wewe mwenyewe
karibu Dodoma
 
Research report please
 
Tatu mzuka, ukishinda Tanzania inashinda

Biko, mabingwa wa bahati yako.

Anyway waliopo Dom changamkieni fursa
 
Mimi nipo dodoma....lets do it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…