Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,272
Iliisha kama ilivoanzaDah [emoji2][emoji2][emoji2]...nakumbuka Kuna dem Mmoja nlimzungukia Sana Yan Sana Alikua mteja wangu. Nilipata Sana tabu kumuingiza 18 basi bhana nikaamua nimpotezee... Siku nimekaa nikakuta SMS asubuh "I love you" kutoka kwake ...sikuchelewesha nikapiga CM nikauliza are you serious akasema yes... Bas nikawa nachakata Sana Yan Sana.. After three weeks naamka asubuh Nakuta text "let's end this relationship " sikujibu mpaka Leo[emoji2][emoji2] kikubwa napumua tu
Kabisa nahis alinihurumia akaona anitunuku tuIliisha kama ilivoanza
HahahahahahahahaHahahahahahahahahaNoma sana.
Mimi nimeachwa last week siku ya Valentine's. Binti yupo mkoani mimi nipo Dar, katuma picha ya gauni jekundu nimnunulie anataka kuvaa hyo siku ya Valentine anadai ni birthday ya rafiki yake. Nkagoma.
Nusu saa si nyingi zikaingia texts za kibuti. Ndo ntolee hadi leo.
Ng'ombe nyingine tumeachana jana asubuhi, huyu alikua ni just for sex na yeye alikua analijua hilo. Juzi usiku anasema anahisi ana mimba tumeenda kupima jana asubuhi kweli anayo, lakini kwa wiki za hyo mimba kipindi inatungwa mimi sikuonana nae kabisa, manake sio yangu. Nkambana kasema alimpelekea uchi ex wake eti ilikua birthday yake. Imebidi nijisogeze pembeni wapambane
Birthdays sio nzuri kwako!Noma sana.
Mimi nimeachwa last week siku ya Valentine's. Binti yupo mkoani mimi nipo Dar, katuma picha ya gauni jekundu nimnunulie anataka kuvaa hyo siku ya Valentine anadai ni birthday ya rafiki yake. Nkagoma.
Nusu saa si nyingi zikaingia texts za kibuti. Ndo ntolee hadi leo.
Ng'ombe nyingine tumeachana jana asubuhi, huyu alikua ni just for sex na yeye alikua analijua hilo. Juzi usiku anasema anahisi ana mimba tumeenda kupima jana asubuhi kweli anayo, lakini kwa wiki za hyo mimba kipindi inatungwa mimi sikuonana nae kabisa, manake sio yangu. Nkambana kasema alimpelekea uchi ex wake eti ilikua birthday yake. Imebidi nijisogeze pembeni wapambane
UnderdogMimi Kuna manzi mmoja aliniacha kimasihara Sana. Yaani siku iyo alinipigia simu nikamwelekeza nilipokuwa nagonga mtungi. Akaja na jamaa ambaye kwangu alikuwa NI mkubwa kidogo.
Basi wakajoin. Jamaa akawa anasimamia bill zote pale. Mwisho wa siku manzi akaniambia - ujue kawoli hii ndio itakuwa mwisho wa Mimi na wewe kunywa pamoja Kama hivi. Huyu hapa NI Mr T ndio mpenzi wangu mpya nimeona Bora nikutambulishe ili tuachane kwa amani.
Nikaumuuliza tu yule manzi kama Kuna tatizo lolote labda, akajibu Hakuna. Nikamuuliza na Mr T Kama anampenda jwa dhati yule manzi, akajibu Sanaa.
Nikamwambia manzi awe na amani ila Mimi nitakaa Kama miezi sita hivi ndio nitaangalia uwezekano wa kuwa na mahusiano mengine. Ikawa tumeishia hivyo.
Walivokuwa wanaingia kwenye ndinga ya jamaa ili wasepe nikafanya ukauzu kidogo, nikawauliza Sasa mnaniachaje achaje hapa maana ndio kwanza kunaanza kuchangamka.
Basi Mr T kwa mbwembwe akanifata na kunishikisha lakimoja na akaniambia, I have never meet such a nigga in my entire life. Nikamwambia be blessed coz u are lucky to meet me today.
Wakasepa. Ile laki nikaichana yote pale pale na wahuhudumu wa bar. Nikawa Mimi ndio doni.
Nikaja kuonana nae after couple of years akiwa tayari ameshaolewa lkn na mwanaume nwingine sio Mr T, na mm nikiwa kwenye pilika pilika za kuoa. Sikutaka hata kuuliza waliishia wapi kwenye mahusiano yao. Akanichangia elfu70. Maisha yakasonga.
Mwanaume hadi kakupig ila bado wewe upo tu? Kitu ambacho sitakuja kukifanya ni kupiga mwanamkeMi niliacha kimasihara na beby wangu mpk leo bado nampenda ,
Ujinga ulikuwa wangu kuna maneno ya chumban niliyatoa nikasimulia mashoga zangu mtaaani
Basi alivyoyasikia wala hakuniuliza alichofanya ....akasubirj nimemaliza kula , tukaenda kuoga , akanigonga na kimoja tukarudi citing room
Akaniambia beby kuanzia leo mm na ww bac its over tabia yako nimekuonya lakini hutaki kuziacha kweli kwa kipindi kile nilikuwa na tabia za uwongo uwongo
Yaani sikuamini alinifukuza nikagoma kutoka akaniwasha vibao ndio nikajua kuwa yupo serious , nilichezea vitasa nikajikuta nimetoka ndani akanionea huruma
Akwasha gari yake mpk gheton kwangu sikuamini yaani akanisindikiza mpk ndani na maji ya kunywa akaniomba nikampa akanywa akasema maisha mema nilioma kama ndoto
Nililiiia nakumbuka ndio naujauzito wake mchanga , jamaa alikuwa haaamini kbs km nina ujauzito kutoka na tabia za kumdanganya mambo mengi
Mpk niliugua haipertension , ujauzito ukatoka !! Nikabaki kuwa naonana naye kazini
Mpk sasa nampenda japo yupo relation nyingine ila natamani sana abadili msimamo na mawazo yake , sikuwah kupata mwaume kama D wangu
Sio hekima ,busara,kutunza anajali kwenye game ndio usiseme mpk kiu ya maji inakukamata
Najilaumu sana ila ndiyo imetokea japo huwa na mmmisi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787] wanakuacha tu sumu ikutengenezehio haiapply kwa mademu wote wanaokuacha
kuna madem hawakuulizi chochote hata wakikukuta unakula nyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] dahDaaaaah! Uzi huu umenikumbusha kitambo mno,,,,baada yakupigana na mdume mwenzangu kwakumuona anamfatilia xana manziyangu"""basi tulifumuana kinyama ila mwisho wapicha tukapelekwa kwamjumbe**mjumbe alifanya uwamuzi wakumuita manzi ili aamuwe ile kesi kwaulahisi ili yeye mjumbe asiumize kichwa,,,,,bhana weeeee manzi kaitwa front aeleze nani true boy wake[emoji44][emoji44] siakamtaja yule mdume mwenzangu kuwa ndo true boy wake, kwaiyo mm nikaonekana[emoji3517][emoji3517],tokea hapo nikaapa kutokuja kufanya tena ushujaa kama huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ndivyo wanaume wote tunatakiwa kuwa.Me: hey love, morning!
Her: Hammy, naomba leo iwe mwisho kuwasiliana. Nimepata mtu hapa job na tunapendana sana. Naomba usinitafute tena.
Me: sawa, ukinihitaji nipo.
Her: never.
Me: okay
After 3 weeks
Her: hammy mpnz
Me: ......
Her: I am sorry
Me: .....
4th week
Her: hammy naomba unisamehe hata kama haunitaki, najua nlikuumiza. Pls
Me: okay
Lawama za nini na unaweza kurudi kwenye ile ya zamani? Au hujui hilo?cheki pale chini..JF ya sasa inakera kama nini, unascrol page moja tu comments zingine hazionekani. Kama mnataka kuifunga si muifunge tu tujue imeisha
Mhmm kwa uachwaji huu nahisi una shoo mbovu sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo imeshakuwa chakula ya wakubwa, achana nae jombaaa usipoteze mda, mmwanaume ni pamoja na kuvumilia mikikimikiki kama hiyo.Siku ya tatu leo naona hapa nimeshakula kibuti. Huyu dada nafanya nae kazi baada ya janga la Corona Kuna wafanyakazi walipewa likizo wengine tumebaki tunapiga kazi.
Nimechukua zangu likizo ya wiki mbili niende home naona mtu Kama amepungua mawasiliano na mimi. Najaribu kumuuliza shida kitu gani anasema kuna siku ataniambia. Mimi nikaona nikae kimya labda ataanza kunitafuta but wajuba navyoongea hapa ndo naona yupo kimya mazima nami nimetulia japo naumia skwa ndani. Najua hapa sina changu.
Kinachoniumiza ntawezaje kuishi pale kazini na yeye pindi ataporudi maana yupo karibu kurudi.
Uwiiiiiiiiii jamani pooe sanaDaaaaah! Uzi huu umenikumbusha kitambo mno,,,,baada yakupigana na mdume mwenzangu kwakumuona anamfatilia xana manziyangu"""basi tulifumuana kinyama ila mwisho wapicha tukapelekwa kwamjumbe**mjumbe alifanya uwamuzi wakumuita manzi ili aamuwe ile kesi kwaulahisi ili yeye mjumbe asiumize kichwa,,,,,bhana weeeee manzi kaitwa front aeleze nani true boy wake[emoji44][emoji44] siakamtaja yule mdume mwenzangu kuwa ndo true boy wake, kwaiyo mm nikaonekana[emoji3517][emoji3517],tokea hapo nikaapa kutokuja kufanya tena ushujaa kama huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mtindo wangu huo