Nakumbuka mi nliachwa July 2019 kwa Phone call. Kwa kweli nilimpenda sana yule binti na kwa muda mfupi nlokua naye alinichuna lakini mi nlichukulia poa kwa sababu nlimpenda saaaaaana
Baada ya kumpiga sound, Nilimsafirisha toka Dar kuja Arusha, bata mbili tatu na baadae nkamrudisha Dar huko huko kuna hela kanikopa ila hata nguvu ya kumdai sina [emoji18]
Akaanza kutopokea simu zangu, hajibu text, ndo ikawa nimepewa silent treatment iyooo na baadae breakup phone call
Aiseeeee nilivyokua na mipango naye nkaona kama ndoto zangu zooote zimezimika ghafla, nikaugua Insomnia, depression na anxiety juuu!
Mpaka sasa hivi bado naendelea ku-recover ila daaaaaa kuna wanawake wanajua kutu-take for granted
One day Yes!!!!
Sent using
Jamii Forums mobile app