Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Pole sweetheart...u'll get over it...time heals kumbuka...pray and get busy...after sometime u'll be totally okay...
 
Asante mpenzi.. labda na ubusy pia umenisaidia kidogo na kampani. Mwezi now ila kuna muda nammiss natamani hata niende kwake najikaza
Pole sweetheart...u'll get over it...time heals kumbuka...pray and get busy...after sometime u'll be totally okay...
 
Pole Sana wa congo hawaaminiki kabisa, na marafiki wacongo nikienda saloon huwa naweka boundaries kali
 
Asante mpenzi. Sasa mie niliingia kichwa kichwa. Ila mpaka sasa naona nimepata nafuu. Week 3 za mwanzo zilikua ngumu sana.
Pole Sana wa congo hawaaminiki kabisa, na marafiki wacongo nikienda saloon huwa naweka boundaries kali
 
Asante mpenzi. Sasa mie niliingia kichwa kichwa. Ila mpaka sasa naona nimepata nafuu. Week 3 za mwanzo zilikua ngumu sana.
Shida ya wacongo wanajua kubembeleza na udhaifu wetu wanawake kubembelezwa na kudekeza, Sasa ukinogewa tu wafwa. Usipende kumkabidhi moyo mtu mapema kabla hujajua misimamo yake ili usije umia. Mimi napenda kulinda moyo wangu aisee kupenda no nakuweka kiunoni ukizingua nakutingisha tupa kule
 
Wanabembeleza, wanajali. Yani alinifanya nisahau kila kitu. Alinionyesha mapenzi sijayapata karibu miaka miwili. Alijua kuwin moyo wangu na mimi ni wale watu nikipenda nimependa na sichukui round.

Sasa mwenzie nishakwama kosa la kijinga sana nikanuna akaniacha.

 
Pole Sana huyo alikuwa tu mpitaji aisee, na watu wa hivo ukigusa tu attachment unayo I feel sio ya nchi hii.
 
😃😃😃 Wewe cariha pimbi kweli
 
Me ndo ata sijielewagi, yn sijui sina moyo....Sipendi hii tabia lakini ndo ninayo...Nimeachwa mara moja tu na demu na alivonitext sikumuuliza sababu nikajibu Poa, hlf natabia ya kukinai mahusiano yn sijui nna shida ganii
 
😂😂
Akili za kibaharia.
 
Vp mzigo ulikula?
 
... akanifata na kunishikisha laki moja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…