Kama ushawahi kuachwa kihivi, njoo utupe mkasa

Hahaha
 
Pole
 
Uliendelea kula tunda au sio. Dah huyo demu safi sana. Nipe namba yake
 
Mimi nikaomba mchezo kaniambia sasa hivi hatoi mbunye hivyo tuwe wa maongezi tu, kwa akili y kawaida nikjua tayari kashapata mtu. Kumbe kuna jamaa alikuwa analeta maziwa kwao ndio jamaa ameanza harakati, basi alikuwa na rafiki yake mkali kuliko hata yeye nikaanza kumsalandia, demu aliludi kwangu wanguwangu.

Nami sikuwa na time nae nilichokifanya nikawa nachezea mbunye tu.

Mapenzi mkiachana harafu mkarudiana hata hayanogi
 
Ungemsaidia hizo sup sasa huku unazamisha tango lako kwa mbususu yake
 
Kwa hiyo mbushsu ulikuwa unakula lakini sio tamu 🀣🀣🀣🀣🀣.
 
Hujapenda wewe....najua Kuna kupenda / kupendwa.

Unakonda mpaka unabakia moja...zinapita siku mbili Hadi tatu hujala..

Now We are very strong πŸ’ͺ than ever.
 
Umetisha Sana πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…