Kama ushawahi kukutana na mkaka mtanashati sana Dar hadi ukashikwa na butwaa basi ujue alikuwa mimi

Kama ushawahi kukutana na mkaka mtanashati sana Dar hadi ukashikwa na butwaa basi ujue alikuwa mimi

1000228742.jpg
 
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi.

Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na butwaa, bas ujue ndio mimi.

Maeneo mengi ninayoendaga hua na catch attention ya watu hadi sio poa, niliookuaepo watu lazima watahizi uwepo wangu.

Uzuri ni kuwa, hata upstairs niko vizuri sana.
Safi hivo ndio inavyotakiwa kujikubali mwenyewe kwanza
 
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi.

Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na butwaa, bas ujue ndio mimi.

Maeneo mengi ninayoendaga hua na catch attention ya watu hadi sio poa, niliookuaepo watu lazima watahizi uwepo wangu.

Uzuri ni kuwa, hata upstairs niko vizuri sana.
Utakapokua utagundua kumbe wala watu huwa hawajali sana kuhusu ww.
 
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi.

Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na butwaa, bas ujue ndio mimi.

Maeneo mengi ninayoendaga hua na catch attention ya watu hadi sio poa, niliookuaepo watu lazima watahizi uwepo wangu.

Uzuri ni kuwa, hata upstairs niko vizuri sana.
Bila picha huu Uzi ni batili weka Picha hata ya mfano wa mtandao mfano T.I, JASON DELURO,PAW WALKER R.I.P
 
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi.

Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na butwaa, bas ujue ndio mimi.

Maeneo mengi ninayoendaga hua na catch attention ya watu hadi sio poa, niliookuaepo watu lazima watahizi uwepo wangu.

Uzuri ni kuwa, hata upstairs niko vizuri sana.
Naona umeweka tangazo lako kijanja, na kwa tahadhari kubwa!
 
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi.

Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na butwaa, bas ujue ndio mimi.

Maeneo mengi ninayoendaga hua na catch attention ya watu hadi sio poa, niliookuaepo watu lazima watahizi uwepo wangu.

Uzuri ni kuwa, hata upstairs niko vizuri sana.
Wazee wa viboga kazi kwenu mboga hii hapa
 
Kuna members wengi wameshawahi niona mtaani sema hawajui kama ni mimi.

Kama unaishi Dar na umeshawahi kukutana na mkaka mtanashati sana handsome, tall, great manly features hadi ukashikwa na butwaa, bas ujue ndio mimi.

Maeneo mengi ninayoendaga hua na catch attention ya watu hadi sio poa, niliookuaepo watu lazima watahizi uwepo wangu.

Uzuri ni kuwa, hata upstairs niko vizuri sana.
Hela vipi unazo,maana kuna watu sio watanashati ila pesa zao tu zinawafanya watu wanashikwa na butwaa,na inawezekana watu wanakushangaa mtanashati halafu huna hela...
 
Back
Top Bottom