Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Hiyo point ni nzuri sana kahaba siyo nyanya unapokua umekaa kwa mbalii una mcheck utaona vyote hakunakitu kibaya kama una chukua kahaba na anakua katoka kutumika
 
Pia usiruusu kahaba achezee simu yake kwasb anaweza kukurecord video au picha akatumia kama turufu ya kutisha na kijpatia pesa
 
Noma sana!
 
One of the best post i ever read ...Big up [emoji106]
 
Mojawapo ya maombi ya mama wajawazito
Ni pamoja na kumtamkia mwanao akiwa tumboni atengwe na uovu kama huo!

Ndugu zangu tuombe sana Mwenyezi Mungu atuepushe na uovu Kaisi hicho !
 
Eti mnaamini kufanya ngono na malaya kwa condoms kuwa inasaidia?

Kwanza hizo condoms mmepata elimu juu ya kuzitumia kwa ufanisi?

Hivi hamna kinyaa kulala na vya wote ?
 
Wengine wana ile Roho ya kutaka na wengine wapate .

Wengine hawana cha kupoteza!
 
Ina simulizi nyingi sana hiyo namba 17
Ni hatari sana, kipindi cha zamani sana nilitembea na mwanamke flani mda sana, ulipita nikawa nina strugle kishenzi kwenye issue zangu zina fail kupita kiasi hela haikai.. Kwa huruma za Mungu nikaja kuota ndoto mwanamke amechukua manii yangu nikaona kayamwaga kaburini dah.. issue hii ni very hatari ingawa watu wanachukulia powa ili ni cost sana ile kitu .. 🥸🥸 Hatari sana kulala na mwanamke ovyo ovyo
 
Sio kwa sifa hizi hahaaa
 
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…