Kama utaenda Kununua Dada poa"Malaya" basi zingatia haya

Hivi huwa mnawezaje kusex na mwanamke anayejiuza. Mm siwesi kabisa aisee. Nishajaribu2 times nikashindwa
 
Tema mate chini, humu kuna malaya hadi makahaba. Humu wapo wanaojiuza indirect. Hii ni social platform, imebeba kila kitu. Usione watu wapo kimya, chini kwa chini watu wanafanya mengi.
 
Yaan maadhara ya kutembea na kahaba spiritual ni mabaya kuliko mambo yote anayoweza kukufanyia phisicaly
 

Hizi sababu zinazidi nguvu ya tamaa ya kutafuta kahaba
 
Kabisaaa hawa wa huku mtaani sijui juliana, mara mary tunao waamini ndio wanatupa vvu maana wametupanga balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…