Kama utani nimenasa kwa Mama mtu mzima

Kama utani nimenasa kwa Mama mtu mzima

Hongera ila hakikisha amekuonyesha kaburi na mzaz mwenzake au taraka
 
Duuuuh.
Mama wa kanisani kakamatwa na dhambi ya Uasherati.

Sio Poa.
 
😀😀😀😀 vijana tuliochangamka tupeane 👊👊👊 najazia mashangazi watamu aisee ninae mmoja na anaimba kwaya kabisa kila Sunday yupo kwa ibada....
 
Back
Top Bottom