Kama utani Rais Ruto anaondoka Madarakani na kama Arab States, EA inaelekea huko

Wabunge Bob Owino,Jarang'o & Junet Mohammed wapo front sio hapa TZ Chadema wanatangaza maandamano halafu wao wamerudi kula ships Machame.

 
Unashabikia ujinga!
 
Wapinzani wa Tanzania ati huwa sana beg kwa CCM.
Mara Mama ni mwerevu
Mama anasikiliza
mama ametuachia tufanye mikutano

Upinzani Tanzania ni bure kabisa
Hapo unataka kuona upinzani ni bure? Bure nì Watanzania wenyewe me and you ambao tunakandamizwa lakini hatuwezi kujisemea
 
Usidanganywee na clip za mitandaoni hakuwa fujo Nairobi kama hioo unayoizungumziaa
 
Usidanganywee na clip za mitandaoni hakuwa fujo Nairobi kama hioo unayoizungumziaa
Tatizo chombo chako kikuu cha habari ni TBC1 hivyo ulimwengu wa nje huoni wala kuujua unadhani ni hadithi
 
Kenya, wenyewe wanasema hii ni rehearsal tuu muziki wenyewe waja
Your browser is not able to display this video.
 
Jambo Limezua Jambo Taratibu Tunajionea Tunajifunza Kenya, South Africa
 
Nimejikuta nacheka alafu ikabidi niangalie nani katoa MAda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…