Kama utani Rais Ruto anaondoka Madarakani na kama Arab States, EA inaelekea huko

Kama utani Rais Ruto anaondoka Madarakani na kama Arab States, EA inaelekea huko

Hakuna aliyetegemea hali iliyopo Nairobi ingekuwa hivi ilivyo sasa. Nairobi imechafuka na askari wameanza kuonyesha kuchoka mapema kabisa na maandamano yanazidi kushika kasi.

Rais Ruto atashuhudia kama utani akiondoka madarakani maana nguvu ya umma haiwezi kuzuiwa na polisi hata kidogo.

Kama ilivyokuwa mataifa ya kiarabu miaka michache iliyopita ambako vurugu na maandamano yaliambukizana kutoka nchi moja kwenda nyingine, jee hali hiyo yaweza kuambukizwa hapa Afrika mashariki?

Kwamba twaweza kuja sikia Uganda yakotokea au Tanzania (Tanganyika) nako yakifumka? Maana sababu kubwa ni hali ngumu ya maisha na tuhuma za uchaguzi usio haki ambao kwa EAC ni kama gonjwa sugu.

Viongozi wayaangalie matatizo kwa jicho la tatu badala ya kuwaambia watu waende Burundi au wabunge wao wakajadili uganga wa kienyeji maana uchumi sio professional yao.

Mungu ibariki EAC isiingie kwenye machafuko na viongozi walio shindwa kutekeleza majukumu wajitambue na kung'atuka.
Hili suala bongo haliwezekani.
 
Hizi ni dalili njema kuelekea ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya viongozi wajinga, uzuri wa hizi movements hua zinasambaa sehemu moja hadi nyingine. Ni muda sasa wa chama kipya cha upinzani kuundwa ili kuchochea harakati hizi.
 
Hakuna aliyetegemea hali iliyopo Nairobi ingekuwa hivi ilivyo sasa. Nairobi imechafuka na askari wameanza kuonyesha kuchoka mapema kabisa na maandamano yanazidi kushika kasi.

Rais Ruto atashuhudia kama utani akiondoka madarakani maana nguvu ya umma haiwezi kuzuiwa na polisi hata kidogo.

Kama ilivyokuwa mataifa ya kiarabu miaka michache iliyopita ambako vurugu na maandamano yaliambukizana kutoka nchi moja kwenda nyingine, jee hali hiyo yaweza kuambukizwa hapa Afrika mashariki?

Kwamba twaweza kuja sikia Uganda yakotokea au Tanzania (Tanganyika) nako yakifumka? Maana sababu kubwa ni hali ngumu ya maisha na tuhuma za uchaguzi usio haki ambao kwa EAC ni kama gonjwa sugu.

Viongozi wayaangalie matatizo kwa jicho la tatu badala ya kuwaambia watu waende Burundi au wabunge wao wakajadili uganga wa kienyeji maana uchumi sio professional yao.

Mungu ibariki EAC isiingie kwenye machafuko na viongozi walio shindwa kutekeleza majukumu wajitambue na kung'atuka.
raisi yupi aachie madaraka kwa kipi?
 
Hakuna aliyetegemea hali iliyopo Nairobi ingekuwa hivi ilivyo sasa. Nairobi imechafuka na askari wameanza kuonyesha kuchoka mapema kabisa na maandamano yanazidi kushika kasi.

Rais Ruto atashuhudia kama utani akiondoka madarakani maana nguvu ya umma haiwezi kuzuiwa na polisi hata kidogo.

Kama ilivyokuwa mataifa ya kiarabu miaka michache iliyopita ambako vurugu na maandamano yaliambukizana kutoka nchi moja kwenda nyingine, jee hali hiyo yaweza kuambukizwa hapa Afrika mashariki?

Kwamba twaweza kuja sikia Uganda yakotokea au Tanzania (Tanganyika) nako yakifumka? Maana sababu kubwa ni hali ngumu ya maisha na tuhuma za uchaguzi usio haki ambao kwa EAC ni kama gonjwa sugu.

Viongozi wayaangalie matatizo kwa jicho la tatu badala ya kuwaambia watu waende Burundi au wabunge wao wakajadili uganga wa kienyeji maana uchumi sio professional yao.

Mungu ibariki EAC isiingie kwenye machafuko na viongozi walio shindwa kutekeleza majukumu wajitambue na kung'atuka.
Pamoja na Samia kuruhusu uhuru wa mawazo na maandamano, Tanzania haiwezi kufikia hatua hiyo kamwe
 
Hakuna aliyetegemea hali iliyopo Nairobi ingekuwa hivi ilivyo sasa. Nairobi imechafuka na askari wameanza kuonyesha kuchoka mapema kabisa na maandamano yanazidi kushika kasi.

Rais Ruto atashuhudia kama utani akiondoka madarakani maana nguvu ya umma haiwezi kuzuiwa na polisi hata kidogo.

Kama ilivyokuwa mataifa ya kiarabu miaka michache iliyopita ambako vurugu na maandamano yaliambukizana kutoka nchi moja kwenda nyingine, jee hali hiyo yaweza kuambukizwa hapa Afrika mashariki?

Kwamba twaweza kuja sikia Uganda yakotokea au Tanzania (Tanganyika) nako yakifumka? Maana sababu kubwa ni hali ngumu ya maisha na tuhuma za uchaguzi usio haki ambao kwa EAC ni kama gonjwa sugu.

Viongozi wayaangalie matatizo kwa jicho la tatu badala ya kuwaambia watu waende Burundi au wabunge wao wakajadili uganga wa kienyeji maana uchumi sio professional yao.

Mungu ibariki EAC isiingie kwenye machafuko na viongozi walio shindwa kutekeleza majukumu wajitambue na kung'atuka.
Viongozi vipofu wanatupeleka huko
 
Raila Odinga na uzee wote anapeleka moto
Wakati huo mbowe yupo ikulu ana vishwa pampasi na mama huku ana lamba asali taratibuuuu ...bado kudogo tu ana elekea kunyonyweshwa maziwa na nyoyo
 
Back
Top Bottom