favourismyname
JF-Expert Member
- Jul 17, 2022
- 403
- 361
DuhHivi unajua hiyo surgery ya kuondoa hizo toxic materials katumia kiasi gani?
Miss Miami alihangaika kumtafuta, Dr ambaye ana utaalamu wa kuondoa hizo toxic kwa kipindi kirefu. Husizani ni swala dogo na kuna wengine zile toxic zina ingia mpaka kwenye mishipa ya damu na kuharibu mapafu,kusafisha na kuondoa kila kitu si kitu kidogo.
Hapo mpaka unamwona hivyo,unaweza ukakuta hela iliyo mtoka ni ndefu sana. Ukipata muda tafuta video YouTube za madaktari then utajua kwamba si swala dogo kuondoa hizo toxics makalioni.
[emoji23], alafu alikua mzuri vile vile na ile rangi.Huyo dada hata rangi alibadili, alikuwa mweusi tii kama kikaangio cha chips
Hata yule? HatariBado poshyqueen
πππMchina imeisha muda wake, mwili umerudi kwenye factory setting[emoji2]
Tupia picha tuone Kama kweliWacha tubaki na flat zetu, kwanza ni mizigo hiyo ukizeeka
Kwa hapa naunga mkono. Wengi wetu hatujikubali.Wanawake hawanaga akili
Flat/ au ka wastani ndio mpangoKwa hapa naunga mkono. Wengi wetu hatujikubali.
π π π π πMchina imeisha muda wake, mwili umerudi kwenye factory setting[emoji2]
Kweli...And mimi nimependa their new looks.They look natural.Umeona kina Kim kardashian wameamua kujipunguza na kutoa hizo butt kuwa wale tofauti maana kila mtu anafanya umeona sasa hivi walivyokonda
Ila na wao wana kazi aiseeKweli...And mimi nimependa their new looks.They look natural.
Unakumbuka Khloe na lile tako jamani? Ila now naona kalitoa now and she looks slender and beautiful
Sana...Wanahangaika sanaIla na wao wana kazi aisee