Kama vile Tanzania ni asali na maziwa ya watu wale wale wachache sana kwenye watu milioni 62!

Kama vile Tanzania ni asali na maziwa ya watu wale wale wachache sana kwenye watu milioni 62!

system hacker

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
426
Reaction score
709
People milioni 62 na ushee lakini mmmmhhhh wakulaji ni very small cycle.

Competence wala sio ishu kubwa kwenye hii nchi. Kikubwa zaidi ni kuwa karibu na hiyo cycle nothing more nothing less.

Lakini truth be told....tatizo sio wakulaji bali tatizo ni wananchi wenyewe.

Wameshapigwa ki ufasaha ile kitu inaitwa 'Divide and Rule' na imekaa kwenyewe haswa hawaelewi hili wala lile.

2030 hali ya maisha ya watanzania wengi itazidi kuwa taabani sana....na trend inaendelea kuwa hivi miaka na miaka hadi wananchi wajielewe
 
1. Chikwete
2. Pinda
3. Merinyo
4.....
 
People milioni 62 na ushee lakini mmmmhhhh wakulaji ni very small cycle.

Competence wala sio ishu kubwa kwenye hii nchi. Kikubwa zaidi ni kuwa karibu na hiyo cycle nothing more nothing less.

Lakini truth be told....tatizo sio wakulaji bali tatizo ni wananchi wenyewe.

Wameshapigwa ki ufasaha ile kitu inaitwa 'Divide and Rule' na imekaa kwenyewe haswa hawaelewi hili wala lile.

2030 hali ya maisha ya watanzania wengi itazidi kuwa taabani sana....na trend inaendelea kuwa hv miaka na miaka hadi wananchi wajielewe
Ni kweli hadi wenye nchi watakapojielewa.
 
Ni kweli hadi wenye nchi watakapojielewa.
Kweli. Maana kama mtu unakula na hakuna bughudha zaidi ya maneno ya mitandaoni kwa nini uache kula? Acha watu wale tu hadi watu wajitambue
 
Ni hatari kubwa pia kuwapa watu ulaji na huku hawajui kula. Ni hatari sana maana watauana wenyewe kwa wenyewe.

Refer: Peter Botha

Wakulaji naomba muendelee kula tu sisi hatuna noma yaani
 
Wanachofanya ni kubadili jina la kusifia tu, pale walipokuwa wanaweka Magu, wanaweja Samia, ulaji unakuja miguuni mwao.

Ukikaza kusifia waliopo, muulize Bashiru inakuaje!

Mpaka sasa, Lisu, Mbowe, Sugu, Zito,
 
Mimi na wewe wote hatujui upa
People milioni 62 na ushee lakini mmmmhhhh wakulaji ni very small cycle.

Competence wala sio ishu kubwa kwenye hii nchi. Kikubwa zaidi ni kuwa karibu na hiyo cycle nothing more nothing less.

Lakini truth be told....tatizo sio wakulaji bali tatizo ni wananchi wenyewe.

Wameshapigwa ki ufasaha ile kitu inaitwa 'Divide and Rule' na imekaa kwenyewe haswa hawaelewi hili wala lile.

2030 hali ya maisha ya wat

People milioni 62 na ushee lakini mmmmhhhh wakulaji ni very small cycle.

Competence wala sio ishu kubwa kwenye hii nchi. Kikubwa zaidi ni kuwa karibu na hiyo cycle nothing more nothing less.

Lakini truth be told....tatizo sio wakulaji bali tatizo ni wananchi wenyewe.

Wameshapigwa ki ufasaha ile kitu inaitwa 'Divide and Rule' na imekaa kwenyewe haswa hawaelewi hili wala lile.

2030 hali ya maisha ya watanzania wengi itazidi kuwa taabani sana....na trend inaendelea kuwa hv miaka na miaka hadi wananchi wajielewe
mimi na wewe wote hatujui upande wa pili wa shilingi. fahamu hiki kitu kidogo sana. the system is not much stable_ Furahia sana na ulipo sababu kesho haitabiliki. hii Tz kuna sehemu tunaenda na tutafika si mda.
 
Mimi na wewe wote hatujui upa



mimi na wewe wote hatujui upande wa pili wa shilingi. fahamu hiki kitu kidogo sana. the system is not much stable_ Furahia sana na ulipo sababu kesho haitabiliki. hii Tz kuna sehemu tunaenda na tutafika si mda.
Nakusoma sana. Tena sana
 
People milioni 62 na ushee lakini mmmmhhhh wakulaji ni very small cycle.

Competence wala sio ishu kubwa kwenye hii nchi. Kikubwa zaidi ni kuwa karibu na hiyo cycle nothing more nothing less.

Lakini truth be told....tatizo sio wakulaji bali tatizo ni wananchi wenyewe.

Wameshapigwa ki ufasaha ile kitu inaitwa 'Divide and Rule' na imekaa kwenyewe haswa hawaelewi hili wala lile.

2030 hali ya maisha ya watanzania wengi itazidi kuwa taabani sana....na trend inaendelea kuwa hv miaka na miaka hadi wananchi wajielewe
Mizengo Pinda, Jakaya Kikwete na the likes tunasubiri jua lichomoze la jiwe lionekane, hawafi CCM.
 
Back
Top Bottom