Kama viongozi wa mikoa yote wa chama cha chadema wamehudhuria mkutano wa Mbowe, na Lissu anazurura peke yake, uchaguzi umekwisha!

Kingereza ya kuokoteza, cha kopo na mfagio
 
Nimeona viongozi wote wa mikoa wa chama cha demokrasia na maendeleo wamepiga kambi kwa Mbowe wakijiapiza kumuunga mkono, naona Mbowe kafunga hesabu, uchaguzi umekwisha.

Lissu anazurura peke yake tu na makaratasi mkononi
Tutafute hela tu bandugu.
 
CHADEMA tunajiaibisha sana. Yani hakuna mtu zaidi ya Mbowe. Very stupid.
 

Wewe una lipi la maana zaidi ya kujificha JF na ID ya uongo.
 
Kiukweli, hata mimi ningekua mpiga KURA wao, hakika ningempigia Mbowe na sio Lissu; sababu yangu ni moja tu, press conference ya Lissu ilikua ya kukigawa chama, kaondoa unit
 
Nimeona viongozi wote wa mikoa wa chama cha demokrasia na maendeleo wamepiga kambi kwa Mbowe wakijiapiza kumuunga mkono, naona Mbowe kafunga hesabu, uchaguzi umekwisha.

Lissu anazurura peke yake tu na makaratasi mkononi
Iyo hawezi kuwa tija , kwa sababu wanaopiga kura sio wao peke yao , na kura ni siri
 
Iyo hawezi kuwa tija , kwa sababu wanaopiga kura sio wao peke yao , na kura ni siri
Ng'ombe hanenepi siku ya mnada, mchezo ulishachezwa tangu chaguzi za ngazi ya chini
 
Mkuu, nyie mnatisha, leo tena mnamtaka Mh. Mbowe ambaye mlikuwa mna mtuhumu kung'ang'ania madaraka kwa muda mrefu, sasa tuseme mna mwogopa Lisu? Kwa hiyo mnaona bora Mbowe!
Je ikiwa ni Mh. Mbowe ndiye ame mtaka Lisu awe Mwenyekiti! ili amwangalie say for one term, akivulunda basi arudi KITINI, kama Trump vile mtapeleka wapi AIBU ZENU????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…