Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatudhihirishia kuwa wewe siyo mzima. Kisentensi hicho kimoja cha kiingereza hakiwezi kutithibitishia kuwa wewe umzima.Stick to the point dont be stupid.
MAGUFULI SIO MUNGU (lema voice)Ili uweze kuwa na taifa thabiti na madhubuti lazima kuwa na viongozi wazalendo na wenye machungu na taifa lao.
Viongozi ambao watapinga ufisadi wa kila aina na kuhakikisha maendeleo yanapatikana.
Viongozi ambao watazuia ushoga ili kulinda maadili ya taifa lao.
Viongozi ambao watazuia wavuta bangi na madawa ya kulevya ili kujenga taifa imara.
Leo hii kuwaundermine na kuwatishia uhai viongozi wa namna hii ni kukatisha tamaa viongozi wengine ambao wako radhi kujitoa kwa taifa lao.
Inaingia kwa sababu alikuwa ni ngao kwa madhalimuHii inaingia vipi hapa?
Ndio yupi huyo🤔.Hata wewe mwisho wasiku utatuambia ni mzalendo,acha mahakama Ikatuambie SII wewe 🏃Ili uweze kuwa na taifa thabiti na madhubuti lazima kuwa na viongozi wazalendo na wenye machungu na taifa lao.
Viongozi ambao watapinga ufisadi wa kila aina na kuhakikisha maendeleo yanapatikana.
Viongozi ambao watazuia ushoga ili kulinda maadili ya taifa lao.
Viongozi ambao watazuia wavuta bangi na madawa ya kulevya ili kujenga taifa imara.
Leo hii kuwaundermine na kuwatishia uhai viongozi wa namna hii ni kukatisha tamaa viongozi wengine ambao wako radhi kujitoa kwa taifa lao.
Wewe hata kunguru hawezi kukuwinda😂Binafsi pia niliwindwa mno.
Ila naona jamaa wamerudi nyuma kidogo.
Lakini haijanifanya nilegee sana.
Labda wamejihakikishia mambo flani wakaamua kuachana na mimi.
Mwenyezi Mungu amsaidie Makonda.
Unamaanisha nani?Ili uweze kuwa na taifa thabiti na madhubuti lazima kuwa na viongozi wazalendo na wenye machungu na taifa lao.
Viongozi ambao watapinga ufisadi wa kila aina na kuhakikisha maendeleo yanapatikana.
Viongozi ambao watazuia ushoga ili kulinda maadili ya taifa lao.
Viongozi ambao watazuia wavuta bangi na madawa ya kulevya ili kujenga taifa imara.
Leo hii kuwaundermine na kuwatishia uhai viongozi wa namna hii ni kukatisha tamaa viongozi wengine ambao wako radhi kujitoa kwa taifa lao.
🤸🤸🤸🤸Maisha yanaenda kasi Sana.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]leo makonda ndo analalamika anataka kuuawa