Kama Vipers wangekuwa na Manzoki na Bobosi, kwa Mkapa leo kungekuwa hakutoshi

Kama Vipers wangekuwa na Manzoki na Bobosi, kwa Mkapa leo kungekuwa hakutoshi

Hivi ni kweli Yanga mmeumizwa na matokeo ya Simba kiasi hichi hadi mnatamani kuwarudisha wachezaji waliowahi kuichezea Vipers ili tu kuhalalisha Simba ingefungwa kama wangekuwepo
Basi tukubali Vipers wangekuwa na Bobosi na Manzoki na Kocha wao Robertinho Simba angekufa nyingi nje ndani
 
Kwa namna Simba walivyokuwa wanacheza mpira mbovu ambao hata timu ya Liwale haiwezi kucheza mpira mbovu namna ile, Leo Vipers wangekuwa na striker kama Manzoki au Bobosi, Simba alikuwa anaaga michuano Leo Leo na Horoya angefuzu Leo Leo.

Sijui huko kambini Robertinho anafundisha nini lakini nahisi mgogoro ndani ya klabu bado unaathiri sana maendeleo ya klabu, Simba Nguvumoja bado haipo, timu unastrugle sana kusaka ushindi.

Wachezaji wanajituma lkn kwa vile nguvumoja haipo Simba, bado tuna kazi kubwa ya kufanya
Kwenye soccer Kuna wakati uliopita, uliopo na ujao kwenye hizo nyakati walikuepo, wapo na watakuepo wachezaji wazuri na wakawaida hii hupelekea timu kuwa up and downs kwenye performance. Kawaida sana. Ninge haina maana yoyote zaidi ya majuto tu.
 
Back
Top Bottom