Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Hivi ni kweli Yanga mmeumizwa na matokeo ya Simba kiasi hichi hadi mnatamani kuwarudisha wachezaji waliowahi kuichezea Vipers ili tu kuhalalisha Simba ingefungwa kama wangekuwepo
Basi tukubali Vipers wangekuwa na Bobosi na Manzoki na Kocha wao Robertinho Simba angekufa nyingi nje ndani
Basi tukubali Vipers wangekuwa na Bobosi na Manzoki na Kocha wao Robertinho Simba angekufa nyingi nje ndani