Kama Vipers wasingekuwepo kwenye lile kundi Simba angekuwa na pointi ngapi?

Hivi kama wale wasudani wasingekuwepo, mngefika hata makundi?
 
Kwa kifupi kocha wetu aliikimbia Vipers sababu aliona hana timu nzuri, kuliko Simba, sehemu ya kutengeneza CV yake ni Simba ndio maana akakimbilia Simba
Wacha tuone atafika wap
 
Ingekuwepo timu nyingine
 
Sawa, Ila nyie hata hizo za kirafiki mlikufa 2 kwa vipers
Sasa mechi ya kirafiki nayo ni ya kukamia kuingiza kikosi full.........nadhani umeona ubora wa Yanga dhid ya MAZEMBE & bamako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…