Hadi sasa timu zote mbili zina nafasi ya kwenda robo fainali, yule looser na huyu wa CLSasa mechi ya kirafiki nayo ni ya kukamia kuingiza kikosi full.........nadhani umeona ubora wa Yanga dhid ya vipers..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa timu zote mbili zina nafasi ya kwenda robo fainali, yule looser na huyu wa CLSasa mechi ya kirafiki nayo ni ya kukamia kuingiza kikosi full.........nadhani umeona ubora wa Yanga dhid ya vipers..
Huna akili 😖😖😖Baada ya kufanya uchambuzi wa mechi za CAF zinazoendelea nimekuja kupata swali hili
Japo kolo anacheza CAF champions ( wanasema Kuna ugumu) lkn sio kigezo Cha timu kubwa kupata point zote Kwa timu Moja ( kibonde) magoal yenyew Sasa .....
Mfano
Al hilal kapata point Kwa timu tofauti
Raja
Esperence nk
Swali:
Je! Kama vipers wasinge kuwepo kwenye lile kundi simba angekua na point ngap??View attachment 2544274
Na kweli tuliona ubora wa Yanga dhidi ya Vipers.Sasa mechi ya kirafiki nayo ni ya kukamia kuingiza kikosi full.........nadhani umeona ubora wa Yanga dhid ya vipers..
Muulize Aisha manula anamjua huyu.Hata Sie Unaotuuliza Hatujui....! Huwezi Kujua labda Badala yake pengine Angekuwepo 'Zalani' ...! Maana Ya Mungu Mengi..!
![]()
Ila Huyu jamaa haya 'Machejo' yake Kiboko...! Kiuno Binuuuuuu