Kama Vipers wasingekuwepo kwenye lile kundi Simba angekuwa na pointi ngapi?

Kama Vipers wasingekuwepo kwenye lile kundi Simba angekuwa na pointi ngapi?

Sasa mechi ya kirafiki nayo ni ya kukamia kuingiza kikosi full.........nadhani umeona ubora wa Yanga dhid ya vipers..
Hadi sasa timu zote mbili zina nafasi ya kwenda robo fainali, yule looser na huyu wa CL
 
Viper asingekuwepo kwenye lile kundi unajua nini kingetokea?
Simba angekua kwenye hilo kundi jipya na vipers
 
Baada ya kufanya uchambuzi wa mechi za CAF zinazoendelea nimekuja kupata swali hili

Japo kolo anacheza CAF champions ( wanasema Kuna ugumu) lkn sio kigezo Cha timu kubwa kupata point zote Kwa timu Moja ( kibonde) magoal yenyew Sasa .....

Mfano
Al hilal kapata point Kwa timu tofauti
Raja
Esperence nk

Swali:
Je! Kama vipers wasinge kuwepo kwenye lile kundi simba angekua na point ngap??View attachment 2544274
Huna akili 😖😖😖
Tuna mechi mbili zimebaki ya Horoya dar ambayo tuna iman kubwa point zipo na ya Raja ambayo bado nina imani tunaweza kutoboa tukiacha mambo ya uoga!
Alafu kwani makundi mengine tuliyocheza huyo Vipers alikuwepo??????
 
Hata Sie Unaotuuliza Hatujui....! Huwezi Kujua labda Badala yake pengine Angekuwepo 'Zalani' ...! Maana Ya Mungu Mengi..!
Aziz-Bana.jpg

Ila Huyu jamaa haya 'Machejo' yake Kiboko...! Kiuno Binuuuuuu
Muulize Aisha manula anamjua huyu.
 
Simba wana akili sana; walipojua kuwa watakutana na Vipers kwenye makundi, basi wakamvuta kocha wa vipers awe wao halafu wafanye mazungumzo na vipers. - point 6!
 
Simba wana akili sana; walipojua kuwa watakutana na Vipers kwenye makundi, basi wakamvuta kocha wa vipers awe wao halafu wafanye mazungumzo na vipers. - point 6!
Wajaribu na Kwa laja
 
Back
Top Bottom