johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
Mkapa kajisema mwenyewe Kwenye Kitabu ChakeJiulize kwa nini Kikwete hakusemwa alipostaafu? Au Mkapa hakusemwa alopostaafu hata alipofariki?
Nime uliza mamilioni kwa sababu maelezo yame andika mamilioni nawe pia naomba unisaidie kutaja hao mamilioni walio uliwa na Magufuli?Kama hayajakufika kaa kimya. Usipende kuona uhai wa wengine hauna maana. Ila fahamu damu ya mtu haiendi bure ndio maana ibilisi kafa.
Mbona Wewe hajakufikia na kutwa unalialia hapa?Kama hayajakufika kaa kimya. Usipende kuona uhai wa wengine hauna maana. Ila fahamu damu ya mtu haiendi bure ndio maana ibilisi kafa.
Aliyekuja juu ni MD wa ATCLHao ACT unawaamini kwenye mambo ya CHADEMA lakini waliposema kuwa ndege sita zimepaki mkaja juu. Hai wameaanza kuongea sio leo, tangu Zitto, akaja yule Mwenyekiti kwa hivyo huyo masoud Hana jipya anatafuta kiki tu maana siasa zimeshinda.
acha kujitoa ufahamu, hivi kweli umesahau magufuli aliongoza kwa mkono wa chuma? nani hapendi kuishi? unakumbuka ni watu wangapi walipoteza maisha na wengine wengi wamebaki vilema hata leo? ww ndo mjinga na propaganda zako za kijingaNi Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Kama mnaogopa mkono wa chuma huko Upinzani mnafanyia nini?acha kujitoa ufahamu, hivi kweli umesahau magufuli aliongoza kwa mkono wa chuma? nani hapendi kuishi? unakumbuka ni watu wangapi walipoteza maisha na wengine wengi wamebaki vilema hata leo? ww ndo mjinga na propaganda zako za kijinga
unatumia nguvu kubwa sana kutetea upuuzi wa awamu ya tano. Yaani umejitia uzuzu kabisa kujifanya umesahau waliomsema jamaa nini kiliwafika? Kwa nini usimuulize Nape, Kinana, January, Mzee Makamba na wenzako wengi hapo Lumbamba hata unashambulia wapinzani? Tatizo likiwa ndani, usitafute mchawi nje kabla ya kuanzia ndani.Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Sasa unafananisha Nape na hao Wapinzani wa Mchongo?!unatumia nguvu kubwa sana kutetea upuuzi wa awamu ya tano. Yaani umejitia uzuzu kabisa kujifanya umesahau waliomsema jamaa nini kiliwafika? Kwa nini usimuulize Nape, Kinana, January, Mzee Makamba na wenzako wengi hapo Lumbamba hata unashambulia wapinzani? Tatizo likiwa ndani, usitafute mchawi nje kabla ya kuanzia ndani.
Kwa nini usiandike kitabu cha kutetea legacy katili ya awamu ya tano angalau uuze ufaidike?
Ni kundi dogo sana la wale wanaofurahia kumnanga marehemu !! Ni bora wabadili gia angani !!Ni Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
bavicha ndiyo nini, to me a Hustler?Sasa unafananisha Nape na hao Wapinzani wa Mchongo?!
We bavicha bure kabisa!
Kazi yangu nimemalizaHao mamilioni alio waua naomba unitajie ?
Wewe ndio zuzu Magufuli Kafa Kazi zake zipobavicha ndiyo nini. kwa taarifa yako si wote tunaishi kwa ujinga wa kushabikia wanasiasa au uchawa kama wewe na wala si wote sisi ni wanasiasa. Sisi wengine ni hustlers na porojo za siasa hazituhusu hata umsimamishe mwanasiasa mzuri namna gani siwezi kupoteza muda wangu kwenda kumsikiliza na hata kama ninatazama tv akiwekwa mwanasiasa awe wa ccm au upinzani huwa ninabadilisha chanel au nazima tv. akili yangu hajagandamana kwa kiwango kama chako kudhani kuwa majibu ya maisha yangu yako kwa mwanasiasa as you are kila siku unapost issues za marehemu. I dont care about any politicians hata wanyongane wauane wote as I know all politicians regardless of their political affiliations, they serve the same master.
Utamuimba magufuli mpaka lini? zama zake zimeshapita? learn to let it go and move forward, he will never be ressurected ili aje akupe mkate aliokuwa anakupa. adjust yourself na mazingira ya sasa and move on.
ACHA UZUZU, SHOW YOUR INTELLIGENCE
Unaongea pumbaMkapa kajisema mwenyewe Kwenye Kitabu Chake
Mkapa aliogopwa na wote kuanzia CCM hadi Wapinzani wa Shimoni Mombasa
Kikwete alisema pale Chato kwamba yeye ndio alipitisha Jina la Magufuli kugombea Urais na anasisitiza kuwa mwenyekiti wa CCM ana nguvu kubwa sana
So ukimsema Magufuli unakuwa umeshawasema na waliomwandaa kuwa Rais
Haihitaji PhD ya Babu Tale kuelewa hili
Nimeipenda hiyo “ watoto wa baba mmoja na mama mmoja “ ni kweli kabisa !!bavicha ndiyo nini, to me a Hustler?
Kwa taarifa yako si wote tunaishi kwa ujinga wa kushabikia wanasiasa au uchawa kama wewe na wala si wote sisi ni wanasiasa. Sisi wengine ni hustlers na porojo za siasa hazituhusu hata umsimamishe mwanasiasa mzuri namna gani siwezi kupoteza muda wangu kwenda kumsikiliza, na hata kama ninatazama tv akiwekwa mwanasiasa awe wa ccm au upinzani huwa ninabadilisha chanel au nazima tv. Akili yangu hajagandamana kwa kiwango kama chako kudhani kuwa majibu ya maisha yangu yako kwa mwanasiasa as you are kila siku unapost issues za marehemu. I dont care about any politicians hata wanyongane wauane wote as I know all politicians regardless of their political affiliations, they serve the same master, ni sawa na uingilie ugomvi wa watoto waliozaliwa na baba na mama mmoja.
Hata hivyo, utamuimba magufuli mpaka lini? zama zake zimeshapita? learn to let it go and move forward, he will never be ressurected ili aje akupe mkate aliokuwa anakupa. adjust yourself na mazingira ya sasa and move on.
ACHA UZUZU, SHOW YOUR INTELLIGENCE
Naibu Waziri Wa afya kaweka wazi juzi kuwa Watanzania ni watu wa aina gani. Sishangai comment yako hii.Ndiyo maana CCM bado ina miongo kadhaa madarakani hata isipofanya chochote.
Wewe Mbona Huthubutu Kumsema Aliyeko MadarakaniNi Ujinga, Utindiga, Ututusa na Ubwege kumuogopa Rais kwa miaka 7 mkiwa mmeufyata halafu leo amekufa ndio mnatumia Mikutano ya hadhara kumsimanga, kumkejeli na kumtukana
Popote duniani silaha kuu ya Chama cha Siasa ni Ujasiri siyo Uoga, Umbuni na Unguchiro
Mnasema ilikuwa miaka 7 ya Giza ninyi mlikuwa wapi kutetea ipatikane Nuru
Mbona mzee Membe alikuwa Jasiri kujitetea katiba mbele ya Magufuli Bila Uoga
Tuwe wakweli Tanzania hatuna Upinzani na Watoto wetu wanapoteza muda bure kushabikia huu upuuzi
Huwezi Kuwa na Wapinzani legelege wanaoshindwa kuisema Serikal kwa wakati sahihi wanamsubiri Kiongozi astaafu au afe ndio waanze kumshambulia
RIP Magufuli
RIP Maalim Seif
Nimseme kwa kosa gani?Wewe Mbona Huthubutu Kumsema Aliyeko Madarakani
HayaUnaongea pumba