Ni wa CCM
Hapa tunachozungumzia ni Utanzania na ni Mbunge anayeiwakilisha Tanzania kama ni kuleta na kuendekeza mila za Kihindi ni vyema angeishi huko kwao na kuvaa mavazi yanayoendana na Mila zao.
Tunachoangalia hapa yeye kuonyesha hicho kiuno chake na kitovu ambacho wamekiona wengi zaidi yangu mimi na wewe je wewe unaona ni sawa kwa mtu ambae alitakiwa kuwa kioo cha jamii kama kiongozi kupost picha kama hiyo?