Timu haina sense of urgency, na tangu tufungwe 5-0 sijaona mabadiliko yoyoteTatizo ni kocha timu ipo slow na wanasubiri tukose ligu kuu ndio watimuane
Hata angepewa timu mwaka juzi ubingwa tungekosa hajiwezi na hajui mbinu mbadala hususani soka la africa hela za mo zinateketeaTimu haina sense of urgency, na tangu tufungwe 5-0 sijaona mabadiliko yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Usishangae! ndio wataucheza MisriMchezo waliocheza Congo wakafungwa 5-0 ndio huo niliouona leo hakuna mabadiliko yoyote, halafu unategemea kuwe na maajabu Misri na El Ahly.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale misri tunaenda kutoka na aibu ya kufungia huu mwaka, kwa kubugizwa makapu ya magoli. Naona aibu hta kabla ya mechiUsishangae! ndio wataucheza Misri
Kama itatokea tutakua tumejitakia wenyewe 'tumejiloga wenyewe 'Pale misri tunaenda kutoka na aibu ya kufungia huu mwaka, kwa kubugizwa makapu ya magoli. Naona aibu hta kabla ya mechi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpka sasa mkuu naona dalili za mbwa kujipeleka mwenyewe kwa hiari yake kwenye mdomo wa chatu.Kama itatokea tutakua tumejitakia wenyewe 'tumejiloga wenyewe '
Teh teh teh teh teh ila Simba bhana sijui maneno ya Manara yanawalevya? Ukiangalia usajili wao.......Mpka sasa mkuu naona dalili za mbwa kujipeleka mwenyewe kwa hiari yake kwenye mdomo wa chatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naogopa kusema kocha hana mbinu mbadala maana itaonekana ni majungu.Mpka sasa mkuu naona dalili za mbwa kujipeleka mwenyewe kwa hiari yake kwenye mdomo wa chatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kama vile maneno ya Obama kwa putin, simba ni kama vile mtoto alienda shuleni alafu akaingia darasani, kisha akakaa nyuma ya ubao, hajui kilichompeleka!Teh teh teh teh teh ila Simba bhana sijui maneno ya Manara yanawalevya? Ukiangalia usajili wao.......
.
Hata kwa as vita walijkfanya kucheza kupasiana pasiana pasi zisizo na tija. Kilichotokea kila mtu anajua. Natabiri mabaya zaidi ya ya kongo kutokea huko misri.Nimekata tamaa ni wachezaji wa klabu ya Simba kutoka na aina ya uchezaji wao wa kutaka kushangiliwa "Show game".Wachezaji hawajui kuwa kila dakika timu inataka goli wanatumia muda mwingi kupiga chenga zisizo na tija kwa timu.Wachezaji hawapigi mashuti wanapiga chenga na kupoteza mipira.Kwa walioona mechi ya leo kati ya Simba na Bandari , Wachezaji wa Bandari walikuwa nyuma lakini wamecheza kwa malengo na kusawazisha goli na kuongeza bao la ushindi.Naamini ingekuwa Bandari ndio imeanza kufunga kwa wachezaji wa Simba wasingeweza kusawazisha lile goli kwa wanapenda kucheza "Show game".Hitimisho kwa uchezaji huu Simba itatolewa Mechi za Makundi na Ligi kuu ya Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo tripple c anapambwa zaidi ya uwezo wake. Ni mchezaji wa kawaida sana.Mkuu si kuna AK-14,Okwi na Kuna mwngne n Triple C[emoji28][emoji28]
Sent from Gamboshi air line
Kwahiyo kuna haja ya ku cancel kamsemo ka "KIKOSI KIPANA"?Mkuu hao hawatoshi simba inahitaj zaid ya hao
Ni KIPANA. KIPANA kweli kweli ndio maana watu tofauti wanaingiza tu.
Cha kusikitisha Mo hilo halijui au wapambe waliomleta wanaendelea kumdanganya kuwa awe na subira.Hata angepewa timu mwaka juzi ubingwa tungekosa hajiwezi na hajui mbinu mbadala hususani soka la africa hela za mo zinateketea
Wanasema hii michuano ya ndani ikiwemo sport pesa sio kipaumbele chao wao wanataka ubingwa wa AfricaCha kusikitisha Mo hilo halijui au wapambe waliomleta wanaendelea kumdanganya kuwa awe na subira.
Tungekuwa tupo kwenye mashindano ya FA, au tumechukua kombe la Mapinduzi angalau ningemwelewa kidogo lakini huko kote amefeli, hili la Sport Pesa amefeli halafu ana matumaini na ubingwa wa Africa, he must be insane.
Sent using Jamii Forums mobile app