Kama Wachezaji wa Simba wataendelea kucheza 'Show Game', kwenye Makundi nje na kwenye ligi hawapati kitu

kama kuna mashindano ya Emirates lakini wao wanayafanya kabla kipindi cha ligi hakijaanza sisi ndio tunashindwa kupanga ratiba mapinduzi cup hayana umuhimu zaidi ya siasa hii sportpesa walitakiwa waandae kabla msimu wa ligi haujaanza
 
SIMBA INASUBIRI KUKAMILISHA RATIBA TU, NENDENI KAMUOMBENI MSAMAHA ALIEWAITA 'UNDERDOG'
 
kama kuna mashindano ya Emirates lakini wao wanayafanya kabla kipindi cha ligi hakijaanza sisi ndio tunashindwa kupanga ratiba mapinduzi cup hayana umuhimu zaidi ya siasa hii sportpesa walitakiwa waandae kabla msimu wa ligi haujaanza
Tofauti ya Mapinduzi Cup na Sportpesa ni kuwa Mapinduzi Cup TFF inajipangia yenyewe wakati Sportpesa wanashinikizwa na mdhamini - siyo wa Ligi - bali wa baadhi ya timu za Ligi.
 
we mwenyewe ni bingwa wa hoja za kubabaisha!!


unauliza Sportpesa ni nani zama hizi,kwamba hujui mpira wahitaji pesa???
 
we mwenyewe ni bingwa wa hoja za kubabaisha!!


unauliza Sportpesa ni nani zama hizi,kwamba hujui mpira wahitaji pesa???
Hakuna jambo gumu kama kumfahamisha asiyeifahamu lugha yake mwenyewe. Kwa Kiswahili unaposema ‘fulani ni nani hadi a.......’ si kwamba humfahamu. Ila unahoji uzito wa anachokifanya au nafasi/fursa anayopewa ukilinganishwa na mchango wake katika muktadha mzima wa jambo husika. Hebu basi soma tena maoni yangu kwa kutumia tafsiri hiyo.
 
Umerudi palepale tu,,unahoji 'uzito' wa anachokifanya:kwamba hujui mpira wahitaji pesa??

swali langu limebaki palepale!
 
Umerudi palepale tu,,unahoji 'uzito' wa anachokifanya:kwamba hujui mpira wahitaji pesa??

swali langu limebaki palepale!
Wise people speak because they have something to say, fools speak because they have to say something.
 
Wise people speak because they have something to say, fools speak because they have to say something.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

kumbe 'kidhungu' unakijua,

sasa mbona umejiita jina la kienyeji??


😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ukweli ni kwamba wachezaji wa simba wanatudhalilisha sana sisi mashabiki wao.

Wanafungwa na vitimu vya vichochoroni ambavyo bajeti yake kwa mwaka haifiki hata mshahara wa Niyonzima wa mwaka mmoja hii ni dharau kama siyo kutokujitambua kwa wachezaji.

Wanacheza bila malengo na kujipigia pigia vichenga uchwara badala ya kucheza kutafuta matokeo au nani kawambia sisi tunakuja kuangalia vyenga vyao tu ?

Wao ndiyo wanalipwa vizuri kuliko team nyingine hapa bongo na east afrika badala ya kuhamasika na kucheza mpira kwa kiwango kikubwa wao wanaota vitambi !!!!

Kila siku tunajitoa uwanjani kuja kushangilia tunakuja kuvuna aibu tena kwa vitimu vya machakani tu kama bandari, green warriors na mashujaa are you serious ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…