Kama Wachezaji wa Simba wataendelea kucheza 'Show Game', kwenye Makundi nje na kwenye ligi hawapati kitu

Kama Wachezaji wa Simba wataendelea kucheza 'Show Game', kwenye Makundi nje na kwenye ligi hawapati kitu

Kocha wa Nkana na Vita walishamfundisha kocha wa Simba cha Kufanya.
Lakini nadhani hazingatii ushauri wa makocha wenzake.
-Kasi Zero
-Bidii Zero
-Umakini golini Zero
- Pasipasi 100%
Kamati ya Uwekezaji ni lazima mkae chini mtathmini hali ya timu.
Haina maana ya kuwekeza wakati hata kikombe cha Mbuzi timu inashindwa kupata.
Ona hao washambuliaji waliofanya Majaribiao, hata kuzima mpira hawawezi.
Ni nani kawaleta ?
Muwasajiri basi tuone vituko.





Sent using Jamii Forums mobile app
Timu yetu sasa imekuwa kituko, hata hiyo Return On Investment siioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili timu limenikatisha tamaa kabisa tusipoangalia Misri tutapata aibu zaidi tuliyoipata Congo
Wakimaliza msimu bila kikombe hata kimoja itakuwa aibu kubwa sana na uzembe wa kujitakia yaani wameziacha million 70 za sport pesa kizembe sana
 
tatizo sio Kocha haya mashindano yameingiliana na mashindano mengine makubwa kocha lazima achezeshe timu kwa tahadhari ya kutopata majeruhi, kuwafanya wasichoke sana na pia kuangalia viwango vya wachezaji anaotaka kuwasajili ila kuna wachezaji wengine hata wapewe nafasi kiasi gani bado mazoba
 
tatizo sio Kocha haya mashindano yameingiliana na mashindano mengine makubwa kocha lazima achezeshe timu kwa tahadhari ya kutopata majeruhi, kuwafanya wasichoke sana na pia kuangalia viwango vya wachezaji anaotaka kuwasajili ila kuna wachezaji wengine hata wapewe nafasi kiasi gani bado mazoba
Si tumebiwa kuna kikosi kipana?kwanini aogope mashindano? Kwanini wakubali kushiriki kama hawayapi kipaumbele?
 
Nimekata tamaa ni wachezaji wa klabu ya Simba kutoka na aina ya uchezaji wao wa kutaka kushangiliwa "Show game".Wachezaji hawajui kuwa kila dakika timu inataka goli wanatumia muda mwingi kupiga chenga zisizo na tija kwa timu.Wachezaji hawapigi mashuti wanapiga chenga na kupoteza mipira.Kwa walioona mechi ya leo kati ya Simba na Bandari , Wachezaji wa Bandari walikuwa nyuma lakini wamecheza kwa malengo na kusawazisha goli na kuongeza bao la ushindi.Naamini ingekuwa Bandari ndio imeanza kufunga kwa wachezaji wa Simba wasingeweza kusawazisha lile goli kwa wanapenda kucheza "Show game".Hitimisho kwa uchezaji huu Simba itatolewa Mechi za Makundi na Ligi kuu ya Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Out zamani sana
 
Nimekata tamaa ni wachezaji wa klabu ya Simba kutoka na aina ya uchezaji wao wa kutaka kushangiliwa "Show game".Wachezaji hawajui kuwa kila dakika timu inataka goli wanatumia muda mwingi kupiga chenga zisizo na tija kwa timu.Wachezaji hawapigi mashuti wanapiga chenga na kupoteza mipira.Kwa walioona mechi ya leo kati ya Simba na Bandari , Wachezaji wa Bandari walikuwa nyuma lakini wamecheza kwa malengo na kusawazisha goli na kuongeza bao la ushindi.Naamini ingekuwa Bandari ndio imeanza kufunga kwa wachezaji wa Simba wasingeweza kusawazisha lile goli kwa wanapenda kucheza "Show game".Hitimisho kwa uchezaji huu Simba itatolewa Mechi za Makundi na Ligi kuu ya Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi mkuu,mechi ya leo imeniumiza sana na kunipa tafakari nyingi....wakenya ni bora kuanzia elimu,kimaisha,kimechezo na mambo mengi,leo nimekubali wameingiza fainali timu zote 2 halafu wanaongoza mara 3 kombe la kwao....nahamia kenya wakuu
 
Wakimaliza msimu bila kikombe hata kimoja itakuwa aibu kubwa sana na uzembe wa kujitakia yaani wameziacha million 70 za sport pesa kizembe sana
Ubingwa wa ligi sio rahisi kuchukua, mpira wa Simba ni wa taratibu sana ni rahisi kuwadhibiti, labda wabadilishe kocha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo sio Kocha haya mashindano yameingiliana na mashindano mengine makubwa kocha lazima achezeshe timu kwa tahadhari ya kutopata majeruhi, kuwafanya wasichoke sana na pia kuangalia viwango vya wachezaji anaotaka kuwasajili ila kuna wachezaji wengine hata wapewe nafasi kiasi gani bado mazoba
Tatizo kocha, ulaya kuna mashindano lukuki lakini wanacheza vizuri tu. Lazima kushindania vikombe vingi ili ubora wako uonekane sio kombe moja tu, ukibahatisha je

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo sio Kocha haya mashindano yameingiliana na mashindano mengine makubwa kocha lazima achezeshe timu kwa tahadhari ya kutopata majeruhi, kuwafanya wasichoke sana na pia kuangalia viwango vya wachezaji anaotaka kuwasajili ila kuna wachezaji wengine hata wapewe nafasi kiasi gani bado mazoba
Maneno kama haya pia ni mazuri kutupa moyo. Ila mi binafsi naona hii timu mbovu sioni jipya.
 
Eti na "ligi out"...😁😁 kwa hiyo watashuka daraja au?
Kushabikia mpira wa bongo kunahitaji kipaji.
 
Back
Top Bottom