Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA, Wajiandae kumpoteza Rose Mayemba

Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA, Wajiandae kumpoteza Rose Mayemba

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Natoa tahadhari kwa Wafusi wa Mheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA kama walivyofanya kwa Mchungaji Msigwa, Wajiandae kumpoteza Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Rose Mayemba.
Screenshot_20240702_114816_Facebook.jpg

Mheshimiwa Rose Mayemba

Wafuasi wa Mbowe inatakiwa Watambue CHADEMA si mali ya Mbowe.

Mwenyekiti wa CHAMA anaweza kutoka popote Tanzania.

So nawapa Onyo wote mnaojifanya Kumtusi, Kumdhalilisha dada Mayemba kwa kudhani Kaskazini ndo inanguvu chadema. Mnajidangaamya.

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?

Kumbuka Kanda ya Nyasa, Rose anakubalika kuliko yoyote kutoka kanda yoyote ndo Maana ameshinda Uongozi wa Mkoa wa Njombe kwa 65% bila kuhonga wala kutengeneza bifu.

Ni wakati wa Viongozi wa Juu kuwaonya Vijana wao wa Mtandaoni wahubiri umoja.
 
Unaanza kumtengenezea huyo Rose sababu ya kwenda CCM, nae aende tu akipenda, usilete visingizio vya kitoto hapa.

Mambo ya kanda ya Kaskazini yanatoka wapi kama sio visa vyako tu?!

Kama mmeshamtongoza huko malizaneni kimya kimya, najua mama Abdul yupo kazini ana pesa za wajinga za kuchezea.
 
Salaam Wakuu,

Natoa tahadhari kwa Wafusi wa Mheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA kama walivyofanya kwa Mchungaji Msigwa, Wajiandae kumpoteza Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Rose Mayemba.
View attachment 3031348
Mheshimiwa Rose Mayemba

Wafuasi wa Mbowe inatakiwa Watambue CHADEMA si mali ya Mbowe.

Mwenyekiti wa CHAMA anaweza kutoka popote Tanzania.

So nawapa Onyo wote mnaojifanya Kumtusi, Kumdhalilisha dada Mayemba kwa kudhani Kaskazini ndo inanguvu chadema. Mnajidangaamya.

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?

Kumbuka Kanda ya Nyasa, Rose anakubalika kuliko yoyote kutoka kanda yoyote ndo Maana ameshinda Uongozi wa Mkoa wa Njombe kwa 65% bila kuhonga wala kutengeneza bifu.

Ni wakati wa Viongozi wa Juu kuwaonya Vijana wao wa Mtandaoni wahubiri umoja.
utakaje na genge la kihuni chadema siyo chama ni saccos ya mbowe ndiyo maana hakuna ubinadamu huko matusi ni sehemu yao ya maisha
 
Unaanza kumtengenezea huyo Rose sababu ya kwenda CCM, nae aende tu akipenda, usilete visingizio vya kitoto hapa.

Mambo ya kanda ya Kaskazini yanatoka wapi kama sio visa vyako tu?!

Kama mmeshamtongoza huko malizaneni kimya kimya, najua mama Abdul yupo kazini ana pesa za wajinga za kuchezea.
Kama vile ulikuwemo kwenye akili yangu. Huyo Rose Mayemba ndiyo leo namsikia. Sasa haya makatazo yanatoka wapi, kama siyo kutafuta visingizio vya kuhamia ccm tu?

Mlango uko wazi.
 
Salaam Wakuu,

Natoa tahadhari kwa Wafusi wa Mheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA kama walivyofanya kwa Mchungaji Msigwa, Wajiandae kumpoteza Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Rose Mayemba.
View attachment 3031348
Mheshimiwa Rose Mayemba

Wafuasi wa Mbowe inatakiwa Watambue CHADEMA si mali ya Mbowe.

Mwenyekiti wa CHAMA anaweza kutoka popote Tanzania.

So nawapa Onyo wote mnaojifanya Kumtusi, Kumdhalilisha dada Mayemba kwa kudhani Kaskazini ndo inanguvu chadema. Mnajidangaamya.

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?

Kumbuka Kanda ya Nyasa, Rose anakubalika kuliko yoyote kutoka kanda yoyote ndo Maana ameshinda Uongozi wa Mkoa wa Njombe kwa 65% bila kuhonga wala kutengeneza bifu.

Ni wakati wa Viongozi wa Juu kuwaonya Vijana wao wa Mtandaoni wahubiri umoja.
Chama kimejaa wahuni na wavuta banghi!
 
Wahame wote ila Dictator mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti
 
Unaanza kumtengenezea huyo Rose sababu ya kwenda CCM, nae aende tu akipenda, usilete visingizio vya kitoto hapa.

Mambo ya kanda ya Kaskazini yanatoka wapi kama sio visa vyako tu?!

Kama mmeshamtongoza huko malizaneni kimya kimya, najua mama Abdul yupo kazini ana pesa za wajinga za kuchezea.
Tundu Lissu na Msigwa walipokemea hela alizomwaga Abdul, wakaanza kushambuliwa eti Lissu na Msigwa hawakutakiwa kukemea Rushwa hadharani, eti Wangesubiri Vikao vya ndani. Lini CHADEMA imeanza kuona haya kukemea Rushwa hadharani?
 
 
Tundu Lissu na Msigwa walipokemea hela alizomwaga Abdul, wakaanza kushambuliwa eti Lissu na Msigwa hawakutakiwa kukemea Rushwa hadharani, eti Wangesubiri Vikao vya ndani. Lini CHADEMA imeanza kuona haya kukemea Rushwa hadharani?
Unabadilika, unawazungumzia Lissu na Msigwa, au Rose Mayemba?

Kama ni Rose, tuambie katukanwa wapi na kina nani?

Lini huyo Rose aliwahi kukemea hiyo rushwa ndani ya Chadema mpaka atukanwe?

Huyo Msigwa waliokuwa wakimfatilia wanasema alikuwa Chadema kimwili lakini kiroho alikuwa CCM, tangu enzi za JPM.

Usitumie kielelezo cha Lissu na Msigwa kwa Rose, hao ni watu watatu tofauti.
 
Salaam Wakuu,

Natoa tahadhari kwa Wafusi wa Mheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA kama walivyofanya kwa Mchungaji Msigwa, Wajiandae kumpoteza Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Rose Mayemba.
View attachment 3031348
Mheshimiwa Rose Mayemba

Wafuasi wa Mbowe inatakiwa Watambue CHADEMA si mali ya Mbowe.

Mwenyekiti wa CHAMA anaweza kutoka popote Tanzania.

So nawapa Onyo wote mnaojifanya Kumtusi, Kumdhalilisha dada Mayemba kwa kudhani Kaskazini ndo inanguvu chadema. Mnajidangaamya.

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?

Kumbuka Kanda ya Nyasa, Rose anakubalika kuliko yoyote kutoka kanda yoyote ndo Maana ameshinda Uongozi wa Mkoa wa Njombe kwa 65% bila kuhonga wala kutengeneza bifu.

Ni wakati wa Viongozi wa Juu kuwaonya Vijana wao wa Mtandaoni wahubiri umoja.
Una uhakika kuwa wanao mukana ni wafuasi wa Mbowe?

Amandla...
 
Kama vile ulikuwemo kwenye akili yangu. Huyo Rose Mayemba ndiyo leo namsikia. Sasa haya makatazo yanatoka wapi, kama siyo kutafuta visingizio vya kuhamia ccm tu?

Mlango uko wazi.
Kama haumjui Rose Mayemba basi si mfuatiliaji wa siasa za nchini mwetu. Msiwe wepesi wa kusema kuwa waende tu. Kwa kweli mnakera.

Amandla...
 
Salaam Wakuu,

Natoa tahadhari kwa Wafusi wa Mheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA kama walivyofanya kwa Mchungaji Msigwa, Wajiandae kumpoteza Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Rose Mayemba.
View attachment 3031348
Mheshimiwa Rose Mayemba

Wafuasi wa Mbowe inatakiwa Watambue CHADEMA si mali ya Mbowe.

Mwenyekiti wa CHAMA anaweza kutoka popote Tanzania.

So nawapa Onyo wote mnaojifanya Kumtusi, Kumdhalilisha dada Mayemba kwa kudhani Kaskazini ndo inanguvu chadema. Mnajidangaamya.

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?

Kumbuka Kanda ya Nyasa, Rose anakubalika kuliko yoyote kutoka kanda yoyote ndo Maana ameshinda Uongozi wa Mkoa wa Njombe kwa 65% bila kuhonga wala kutengeneza bifu.

Ni wakati wa Viongozi wa Juu kuwaonya Vijana wao wa Mtandaoni wahubiri umoja.
Wee mpumbavu mtu kuambiwa ukweli ni kumtukana?
 
Salaam Wakuu,

Natoa tahadhari kwa Wafusi wa Mheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA kama walivyofanya kwa Mchungaji Msigwa, Wajiandae kumpoteza Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe Rose Mayemba.
View attachment 3031348
Mheshimiwa Rose Mayemba

Wafuasi wa Mbowe inatakiwa Watambue CHADEMA si mali ya Mbowe.

Mwenyekiti wa CHAMA anaweza kutoka popote Tanzania.

So nawapa Onyo wote mnaojifanya Kumtusi, Kumdhalilisha dada Mayemba kwa kudhani Kaskazini ndo inanguvu chadema. Mnajidangaamya.

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?

Kumbuka Kanda ya Nyasa, Rose anakubalika kuliko yoyote kutoka kanda yoyote ndo Maana ameshinda Uongozi wa Mkoa wa Njombe kwa 65% bila kuhonga wala kutengeneza bifu.

Ni wakati wa Viongozi wa Juu kuwaonya Vijana wao wa Mtandaoni wahubiri umoja.
kwani wapo wasio tukanana na kuporomosha matusi hapo Chadema?

ni wafuasi wa nani basi hapo Chadema wakati mihemko, ghadhabu na matusi walifunzwa pamoja? 🐒
 
Unaanza kumtengenezea huyo Rose sababu ya kwenda CCM, nae aende tu akipenda, usilete visingizio vya kitoto hapa.

Mambo ya kanda ya Kaskazini yanatoka wapi kama sio visa vyako tu?!

Kama mmeshamtongoza huko malizaneni kimya kimya, najua mama Abdul yupo kazini ana pesa za wajinga za kuchezea.
Huyo ni nguruwe wa kijani achana naye na fitina zake za kikuda
 
Tundu Lissu na Msigwa walipokemea hela alizomwaga Abdul, wakaanza kushambuliwa eti Lissu na Msigwa hawakutakiwa kukemea Rushwa hadharani, eti Wangesubiri Vikao vya ndani. Lini CHADEMA imeanza kuona haya kukemea Rushwa hadharani?

..halafu Msigwa akaenda hukohuko kwa Mama Abduli?!!

..watu wazima, wazee wenye busara, wanapaswa kukaa kitako na Msigwa ili kumpa nasaha.

..Msigwa is on a path to destroy himself.
 
..halafu Msigwa akaenda hukohuko kwa Mama Abduli?!!

..watu wazima, wazee wenye busara, wanapaswa kukaa kitako na Msigwa ili kumpa nasaha.

..Msigwa is on a path to destroy himself.
Aisee!!!

Nilikuwa namchukulia huyu figganniga kuwa ni GT duh 🙄 😑 😒 what a mistake 😑
 
Back
Top Bottom