Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA, Wajiandae kumpoteza Rose Mayemba

Kama wafuasi wa Mbowe wataendelea kutukana Viongozi wa CHADEMA, Wajiandae kumpoteza Rose Mayemba

Kwanini Freeman Mbowe hakuwakemea waliokuwa wanamtukana na kumtenga Peter Msigwa wala hakuna chochote kinasemwa kwa Wanaomdhalilisha Rose Mayemba? Au sababu Rose ni Mnyonge? Au sababu Rose hajui kujibizana matusi mitandaoni?
Rose katukanwa na nani ? wapi?
 
..Rose Mayemba awe na subira hakuna wa kumshinda Uenyekiti wa Cdm Njombe.

..yaani bila kumuengua huwezi kumshinda Rose Mayemba ktk nafasi hiyo.

..akielewa jambo hilo hawezi ku-panick na kuchukua maamuzi yasiyo na busara.
 
Back
Top Bottom