Bora darasa la saba elimu imenisaidia kuchambua kuliko kiruu uliibia mitahani na huko chup ukabanduliwa na lecturer ufike ulipo ukija kazina performance zeroDarasa la 7 c
Nakushauri Usiendelee kureply unajiaibisha.Bora darasa la saba elimu imenisaidia kuchambua kuliko kiruu uliibia mitahani na huko chup ukabanduliwa na lecturer ufike ulipo ukija kazina performance zero
Na bado watoto wa tatu kila mmoja baba ake elimu yako Iko wapi hapo kama sio uzwazwa
Unaulizwa huku unajibu huku
Huna uwezo wa kunishauri jibu point maendeleo yamekujaje kwani tuna zungumzia ukabilaNakushauri Usiendelee kureply unajiaibisha.
Unaonesha upeo wako Mdogo wa akili
Kweli Wazungu walitutreat kama sokwe tuSiyo kwamba wazungu walikuona nyani!!!?
Nenda unguja ndio utajua waafrika asiliKama waingereza na wajerumani walitutawala inakuwaje hatuna mchanganyiko wa rangi na hao wazungu kama wazanzibar.
Wajerumani waliozaa na ngozi nyeusi wapo japo siyo wengi, mfano ni Zakaria Hans Pop (RIP) baba yake alikuwa ni Mjerumani.Kama waingereza na wajerumani walitutawala inakuwaje hatuna mchanganyiko wa rangi na hao wazungu kama wazanzibar.
Waarabu na Wahindi- Machotara wa Kihindi ni wa kutafuta kwa mbinde. Je, ni kwanini?Wazungu wakioa wanachukua wanaenda kuishi na wake zao Ulaya, na Kama wataachana na Mke basi wanachukua watoto wengi wao.
Nina ndugu zangu wameolewa na Wazungu, Ila waarabu kidogo ni mtihani hasa Kwa familia zao kwani wengi hutumia mfumo wa kuoana wao Kwa wao.
Hivyo mhindi au muarabu akizaa na mbongo wengi huwatelekeza watoto Kwa Mama zao. Ni ngumu mtoto wa Chotara wa kiarabu au Kihindi kukubaliwa kwenye familia na koo za kiarabu au za wahindi.
So wengi pale Zanzibar ni machotara waliotelekezwa au walikuwa mpango wa kando Kwa Siri Kwa makubaliano